Nina 70,000 niifanyie nini

Nina 70,000 niifanyie nini

Habari

Nimefanikiwa kupata kiasi cha 70,000 nahitaji hii pesa initoe kwenye dimbwi la umasikini.

Niifanyie kitu gani ambacho kitakuza mtaji haraka sana.

Nipo Dsm.
Nenda duka la vyombo nunua birika2,vikombe vya kahawa,njiko la mkaa,chupa mbili za chai ingia Sokoni,chukua tangawizi,kahawa,Anza kupika kahawa na tangawizi,Asubuh wahi stend navituo vyadaladala watembezee watu,ukiweza pika nakashata Tembea nazo.....baada yawiki kadhaa utakuja kuleta mrejesho
 
Nunua tray ya mayai 2
7800×2=15600
Chemsha mayai sambaza
Mayai 60×400=24000
MATUMIZI
Mayai 15600
Mkaa 2000
Chumvi 400

Faida 6000.

Komaa uuze tray 2 kila siku.
Jioni unatafta kijiwe unachoma mishikaki ya 200 Nayo hutakosa 6000 faida
So utalaza 12000.
Mipango ya mtandaoni hiii
 
nakushauri tena kwa mara ya pili.

nunua dagaa wa kukaanga wa mwanza ndoo 1 kubwa .

Bei yake ni Tshs elfu 55.

Nunua vifungashio vile vya karatasi za nylon (haifiki elfu 5)

Funga dagaa wako katika pakti, ndoo 1 inatoa pakti 80.

uza pakti 1 kwa 1,200-1,500 kulingana na wateja.



ukihitaji mzigo nicheki 0683011003
tupo morogoro.
 
Hakuna aliyeanzia pakubwa, hiyo 70, 000 japo ndogo, lakin unaweza kufanya jambo kubwa. Anza biashara ya kuku, tafuta kijiwe , anza hata na kuku watano (25, 000) wa Dar hawaachi kitu, kuanzia utumbo mpaka miguu ya kuku wewe uza.
Mambo Khadija..
 
Faida ghafi hapo utaona ni 1200x80= 96000
pambana
bana matumizi mpaka mtaji ukue
kumbuka dagaa wa kukaanga sio bidhaa ya kuharibika leo leo wala wiki ijayo

unaweza zunguka nayo huku unauza maeneo ya Vyuoni, super market, kwenye foleni n.k

nicheki 0683011003 nikuuzie mzigo
 
Naomba na Mimi nichangie kidogo,maana na Mimi nitabarikiwa kwa atakayefurahia na kuufuata mcahngo wangu......nenda kariakoo,kanunue chupa za Nani za watoto wa nursery....hizi chupa za yebo yebo......wanauza chupa 82, kwa shilingi 80000, wewe unauza chupa moja 1500 au 2000. Sasa sijui utapata faida kiasi ganii...maana hesabu nilipata F.
Wapi wanauza hzo chupa mkuu?
 
Ngoja nikusaidie ili ifike 90,000/= leo leo. Fanya hivi nenda Kurasini Mivinjeni kuna jamaa ana kontena anauza apples frm SA..box 57,000/= chukua box lenye apple 90. Tafuta sehemu kkoo, uweke box upakie baadhi kwenye mfuko. Pita madukani uza apple moja 1000. Masaa mawili mzigo umekata.

Nakupa hii sababu mimi ninaifanya kila ijumaa.

Uzuri wa box linalokaa apple 90 ni makubwa sana so yanamvutia mnunuzi. Utapata wateja parmanent ambao watakua wanachukua lets kila wiki.
 
70k haikutoi kwenye umasikini.
Kama uko low kiasi hicho mkuu nashauri sana uinvest kwenye kupata more skills ambazo ni useful zitakazokusaidia kuingiza kipato. 70k huwezi wekeza kwenye biashara yoyote ile tusidanganyane.
Unataka invest 70k una hela ya kula na pa kulala?
Kumtoa itamtoa ila itachukua muda na kukaza sana.
Mzee kuna biashara za kibwege sana na zina lipa kinyama inategemeana na location, au upepo tu umekunyookea. mfano wa hizi biashara
1. Muuzaji wa utumbo
2. Muuzaji wa maziwa mtindi/fresh unatoa shamba unauza kwa watu majumbani au stendi
3. Karanga mbichi au zilizo kaangwa
4. Goli la mama lishe /supu
5. Muuzaji wa mahindi ya kuchemsha au kuchoma
6. Mboga mboga


Changamoto za biashara za mtaji mdogo ukiumwa kidogo mtaji kwisha.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nikusaidie ili ifike 90,000/= leo leo. Fanya hivi nenda Kurasini Mivinjeni kuna jamaa ana kontena anauza apples frm SA..box 57,000/= chukua box lenye apple 90. Tafuta sehemu kkoo, uweke box upakie baadhi kwenye mfuko. Pita madukani uza apple moja 1000. Masaa mawili mzigo umekata.

Nakupa hii sababu mimi ninaifanya kila ijumaa.

Uzuri wa box linalokaa apple 90 ni makubwa sana so yanamvutia mnunuzi. Utapata wateja parmanent ambao watakua wanachukua lets kila wiki.

Hii unaweza kuifanya kwa wiki mara 1 au mbili.

Then siku nyingine

Kuna tochi za solar nzuri sana zinashawishi zinauzwa 7500 jumla unanunua 5 unazunguka nazo...mtaani utauza 12-15k, siku moja unazimaliza.

Kuna feni flani za kujipepea za umeme ila ni vidogo vinapendwa sana...jumla 9000 reja reja unauza 15,000.


Kuna mazulia yanauzwa 25,000 unanunua hata 1 unatembea nalo unauza 35k hadi 50k.

Flash disk Og gb 16 jumla 8000 reja uza 15000
Gb 32 jumla 12000 reja 25000.


Mkuu hizo ni biashara ambazo mimi nafanya kila siku.

Nje ya mishe nyingine nina uhakika wa 70k kila wiki.

0714 88 38 61

Naweza help kukuonyesha machaka....freely tu.
 
Fanya kama huna hiyo hela,ifiche mahali usi ione kbsa kisha anza kusaka ajira kibarua yani Teseka lala njaa jitose kwenye maisha na wala usiikumbuke ile 70 kule ulipoificha,nina uhakika utapata tena hela.

ukipata tena kaifiche kule ulipoficha ile 70 ya mwanzo,ingia tena tafuta kbarua,saka pesa,saka kazi teseka hasa usichague kazi,utapata tena najua,chukua hyo amount kaongezee kule kwenye zile za mwanzo.

nenda na mwendo huo huo hadi utakapoona sasa nimechoka nahitaji kufanya biashara yangu nipumzike kidogo,katoe zile hela ulipokua unazificha angalia una kiasi gani kisha kwenye hiyo hela fungua biashara inayohtaji mtaji wa ile 70k ya mwanzo kbsa,yani fanya kama una 70k tafuta biashara ya mtaji huo fanya hela zingine ziache zikulinde na kuipa backup biashara yako itakapoyumba.
Ushauri huu ni zaidi ya ushauri wa PhD za mauki

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Kumtoa itamtoa ila itachukua muda na kukaza sana.
Mzee kuna biashara za kibwege sana na zina lipa kinyama inategemeana na location, au upepo tu umekunyookea. mfano wa hizi biashara
1. Muuzaji wa utumbo
2. Muuzaji wa maziwa mtindi/fresh unatoa shamba unauza kwa watu majumbani au stendi
3. Karanga mbichi au zilizo kaangwa
4. Goli la mama lishe /supu
5. Muuzaji wa mahindi ya kuchemsha au kuchoma
6. Mboga mboga


Changamoto za biashara za mtaji mdogo ukiumwa kidogo mtaji kwisha.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Hizo biashara wengi sana wanafanya wako palepale stuck hawana maendeleo yoyote, tatizo la business ulizosema hapo ni kua kila mtu anafanya, unaingia kwenye competition kubwa mno, returns zake ni ndogo sana, sasa ukichukua 70k ukasema return ni 20% maana yake kapata 14k. Sasa 14k hata msosi tu haitoshi what's the use kuanza hiyo business?

Kama una hela ndogo kiasi hicho na unataka business hakikisha iwe inayoreturn 100% yaani from 70k to 140k in one round which is so difficult. 70k badala ya kuanzisha biashara bora angetunza ale, mimi hata ajira natoa naweza mlipa mtu 500k kama anafanya kazi vizuri na kumlipia msosi kabisa kila mwezi ili atunze hela aje ajiendeleze mwenyewe. 70k is nothing sio kwa dunia ya sasa.
 
70k haikutoi kwenye umasikini.
Kama uko low kiasi hicho mkuu nashauri sana uinvest kwenye kupata more skills ambazo ni useful zitakazokusaidia kuingiza kipato. 70k huwezi wekeza kwenye biashara yoyote ile tusidanganyane.
Unataka invest 70k una hela ya kula na pa kulala?
Kwa Dar anaweza kuinvest usimkatishe tamaa
 
Kwa Dar anaweza kuinvest usimkatishe tamaa
Niambie 70k unainvest wapi?
Sio kumkatisha tamaa, nataka aangalie options nyingine sio kutegemea utageuza 70k into millions. Mara mia achukue muda kuongeza skills kuliko kutegemea magic. Mkuu if you can double 70k nakupa hata sasa hivi
 
Habari

Nimefanikiwa kupata kiasi cha 70,000 nahitaji hii pesa initoe kwenye dimbwi la umasikini.

Niifanyie kitu gani ambacho kitakuza mtaji haraka sana.

Nipo Dsm.
Endelea kuitunza walau ifike laki
 
Hizo biashara wengi sana wanafanya wako palepale stuck hawana maendeleo yoyote, tatizo la business ulizosema hapo ni kua kila mtu anafanya, unaingia kwenye competition kubwa mno, returns zake ni ndogo sana, sasa ukichukua 70k ukasema return ni 20% maana yake kapata 14k. Sasa 14k hata msosi tu haitoshi what's the use kuanza hiyo business? Kama una hela ndogo kiasi hicho na unataka business hakikisha iwe inayoreturn 100% yaani from 70k to 140k in one round which is so difficult. 70k badala ya kuanzisha biashara bora angetunza ale, mimi hata ajira natoa naweza mlipa mtu 500k kama anafanya kazi vizuri na kumlipia msosi kabisa kila mwezi ili atunze hela aje ajiendeleze mwenyewe. 70k is nothing sio kwa dunia ya sasa.
Mkuu upo sawa. Ila amini siamini kutoka kunahitaji kujinyima sana

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom