Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,194
Wapendwa wanaJF, enzi zile kabla hapajawa na bongo flava, kuna mwanamziki mmoja hapa kwetu Tz aliomba ushauri jinsi gani awezefanya kutatua tatizo lililoluwa linamkabili.
Kwa ufupi ni kwamba huyu jamaa alikuwa anasafiri kwenye ngalawa/mashua akiwa na Mama yake, Baba yake, Mke wake na Mwanaye. Kufika katikati ya bahari, chombo kilikumbwa na upepo mkali na kikaanza kuzama. Huyu jamaa alikuwa ni mtaalamu sana katika kupiga mbizi. Hata hivyo uwezo wake unaishia kumuokoa mtu mmoja tu ili aweze kupiga mbizi naye. Ndiyo akaomba wana JF mmshauri amuokoe nani????
Kwa ufupi ni kwamba huyu jamaa alikuwa anasafiri kwenye ngalawa/mashua akiwa na Mama yake, Baba yake, Mke wake na Mwanaye. Kufika katikati ya bahari, chombo kilikumbwa na upepo mkali na kikaanza kuzama. Huyu jamaa alikuwa ni mtaalamu sana katika kupiga mbizi. Hata hivyo uwezo wake unaishia kumuokoa mtu mmoja tu ili aweze kupiga mbizi naye. Ndiyo akaomba wana JF mmshauri amuokoe nani????