Nimridhisheje?

Steve!
Did i hear you say that?
Mwacheni mwenzenu atimize wajibu tuliopewa na MUNGU kuijaza dunia!

...no something else my dear!!
...nature, isn't it?! I think we ought be proud as abled beings when we become blessed with news such like that!
...you concur?
 
Last edited:
...nadhani keshapigika na mambo yakaitikia na sasa analamba udongo na kunyonya ukwaju wa kuagiza toka bongo!!!

...:D kumbe ndio dawa yao? ndio maana bw' mdogo wangu aliwahi kushauriwa ambandike kitoto kingine mkewe, maana (mkewe) alikuwa heshi kumsumbua sumbua!
 
...:D kumbe ndio dawa yao? ndio maana bw' mdogo wangu aliwahi kushauriwa ambandike kitoto kingine mkewe, maana (mkewe) alikuwa heshi kumsumbua sumbua!

...no idea, but it sounds bit harsh a revenge dude!
 
WoS, majority ya wanaume hapa ni mid 20s to early 40s... do you think they have time to re-invent the wheel?! Rather late in my opinion. We're such old dogs...new tricks are tricky and arduous!"

I read that book when I was in my late teens! Tena kwa kujiiba sana usionwe na mzazi! Then I came to read it again years later.... kwa kweli ni kitabu chenye kufaa kusomwa na mtu yeyote anayetaka kuingia au aliyeko kwenye ndoa.JF members hawana excuse to miss out on this maana kiko hapa jamvini tayari.
 
I read that book when I was in my late teens! Tena kwa kujiiba sana usionwe na mzazi! Then I came to read it again years later.... kwa kweli ni kitabu chenye kufaa kusomwa na mtu yeyote anayetaka kuingia au aliyeko kwenye ndoa.JF members hawana excuse to miss out on this maana kiko hapa jamvini tayari.

...I trust ya word, will get hold of a copy, thanks for your emphasis.
 
jamani labda mtanisaidia, nifanyeje nimridhishe huyu mwanaume??? sasa kwangu kawa kama guberi haridhiki na mambo ninayompa chumbani japo hajishughulishi hata kuniandaa. na mbaya zaidi mume wangu huyu hata kama nikiwa kwenye 'siku zangu' anataka kuingia, jambo ambalo kikwetu ni mwiko. ukimkatalia anakutishia kutoka nje ya ndoa. .. jamani hii mwenzenu mbona imekuwa taabu tupu.

Pole sana dada kwa kukutana na jitu kama hilo.
Kitu cha maana mpe darasa kwamba kama njia imejaa tope basi jongoo hana budi kusubiri mpaka tope likauke. Mwambie asiwe na haraka wala papara wewe ni mali yake na uko kwa ajili yake sasa ulafi wa nini?, na inachukua siku ngapi kuwa katika siku zako?. Mambo ya kuruhusu njia nyingine nao si ustaarabu, muelimishe hivyo. Kama unaona haelekei kuelewa basi ita wazee waeleze ukweli bila shaka jamaa huyu hakupita jando ama kaenda jando la hospitalini (kutumia ganzi) maana huko hakuna mafunzo ya chumbani.
 
Pole sana dada kwa kukutana na jitu kama hilo.
Kitu cha maana mpe darasa kwamba kama njia imejaa tope basi jongoo hana budi kusubiri mpaka tope likauke. Mwambie asiwe na haraka wala papara wewe ni mali yake na uko kwa ajili yake sasa ulafi wa nini?, na inachukua siku ngapi kuwa katika siku zako?. Mambo ya kuruhusu njia nyingine nao si ustaarabu, muelimishe hivyo. Kama unaona haelekei kuelewa basi ita wazee waeleze ukweli bila shaka jamaa huyu hakupita jando ama kaenda jando la hospitalini (kutumia ganzi) maana huko hakuna mafunzo ya chumbani.

Mkuu, naomba ujaribu kusoma thread hii kama una access, ili kuangalia upande wa pili wa shillingi kuhusiana na swala hili unapokuwa kiganjani mwa opposite gender.
 
jamani mi naona sifikiriwi hapa! nyani ngabu unanishauri ninyonye 'koni' ndiyo nini hiyo mzee?
swala kubwa mume huyu ni kutoka kwa makabila yale ya' amri amri' kule kuzunguka ziwa maarufu hapa kwetu Tz, kitu ambacho nafikiria kinachangia na kutonijali mimi kwamba nahitaji kuridhishwa pia.
Kufanya mambo ya chumbani ni kama chakula hakuna lingine analowaza, hajali nimechoka wala niko kwenye hedhi.. angekuwa basi ananirusha roho kwa kachumbari nisingenungunika. Kwa upande wangu hata hayo niliyofundishwa kwenye kichen-party nashindwa kupractise kwake, kwani inapofika muda narukiwa kama mzoga. Akisha mwagilia na siku ndiyo imetoka hiyo.
Wakati mwingine natamani nimuulize kama alipobarehe alifundishwa jinsi ya kumridhisha mwanamke, ila naogopa kufanya hivyo.
 
jamani mi naona sifikiriwi hapa! nyani ngabu unanishauri ninyonye 'koni' ndiyo nini hiyo mzee?
swala kubwa mume huyu ni kutoka kwa makabila yale ya' amri amri' kule kuzunguka ziwa maarufu hapa kwetu Tz, kitu ambacho nafikiria kinachangia na kutonijali mimi kwamba nahitaji kuridhishwa pia.
Kufanya mambo ya chumbani ni kama chakula hakuna lingine analowaza, hajali nimechoka wala niko kwenye hedhi.. angekuwa basi ananirusha roho kwa kachumbari nisingenungunika. Kwa upande wangu hata hayo niliyofundishwa kwenye kichen-party nashindwa kupractise kwake, kwani inapofika muda narukiwa kama mzoga. Akisha mwagilia na siku ndiyo imetoka hiyo.
Wakati mwingine natamani nimuulize kama alipobarehe alifundishwa jinsi ya kumridhisha mwanamke, ila naogopa kufanya hivyo.


Mh..kuzaliwa mwanamke kweli ni challenge..

Sasa kama state of affairs ni kama hivyo unavyosema hivi ilikuwaje mpaka mkaoana..naona matatizo mengi yalitokana na kutojuana kabla ya ndoa.
 
rafiki, the issues you are dealing with zapita mambo ya kitandani, it appears you communication is not healthy. usipoweza kumueleza shida zilizopo kwa sababu ya woga..........well how can we help you?

inaonekana u will have to involve 3rd party pengine wazee au maid of honor na bestman wenu ili wakusaidie courage ya kufanya mawasiliano na huyo mumeo. otherwise............... uko mashakani.

hebu tueleze, kabla ya kufunga ndoa how were things........?

pole sana dada.

hili janga linasisitiza shida ya kuoana culture tofauti.........

samahani, kiswahili kimenipotea kidogo............

jamani mi naona sifikiriwi hapa! nyani ngabu unanishauri ninyonye 'koni' ndiyo nini hiyo mzee?
swala kubwa mume huyu ni kutoka kwa makabila yale ya' amri amri' kule kuzunguka ziwa maarufu hapa kwetu Tz, kitu ambacho nafikiria kinachangia na kutonijali mimi kwamba nahitaji kuridhishwa pia.
Kufanya mambo ya chumbani ni kama chakula hakuna lingine analowaza, hajali nimechoka wala niko kwenye hedhi.. angekuwa basi ananirusha roho kwa kachumbari nisingenungunika. Kwa upande wangu hata hayo niliyofundishwa kwenye kichen-party nashindwa kupractise kwake, kwani inapofika muda narukiwa kama mzoga. Akisha mwagilia na siku ndiyo imetoka hiyo.
Wakati mwingine natamani nimuulize kama alipobarehe alifundishwa jinsi ya kumridhisha mwanamke, ila naogopa kufanya hivyo.
 
jamani labda mtanisaidia, nifanyeje nimridhishe huyu mwanaume??? sasa kwangu kawa kama guberi haridhiki na mambo ninayompa chumbani japo hajishughulishi hata kuniandaa. na mbaya zaidi mume wangu huyu hata kama nikiwa kwenye 'siku zangu' anataka kuingia, jambo ambalo kikwetu ni mwiko. ukimkatalia anakutishia kutoka nje ya ndoa. .. jamani hii mwenzenu mbona imekuwa taabu tupu.
Kwanza pole shost, kama ni wakati mgumu ni huu kwako. Mie nitakushauri zaidi kesho huko kwenye PM.
 
Msimdanganye mwenzenu! Huyu mumeo kwani alikuwa vipi tabia zake? Ni kitu kaanza siku za karibuni au?


Ndoa ni mzigo..inabidi uubebe hadi mwisho ....au kama mnaruhusiwa kuubwaga njiani kufuatana na imani yenu basi uamue mwenyewe



Kitchen party - mimi sizifagilii sana..ila huwa naona kuna tatizo. Iweje mwanamke afundwe kwenye Kitchen party halafu anaenda kukutana na mwanamume ambaye hana hili wala lile.Hivi what is the equivalen of kitchen party for men?
Kitchen party kwa kweli ni mfumojike. Halafu hata mafundisho yao - kadiri nilivyosikia - siyo daima yanamlenga kumsaidia mtu kwani magwiji (maprofesa) wengi hawakuolewa, au kama wameolewa wameachika. Na wakati mwingine wanamfundisha vitu vsivyosaidia kujenga ndoa yake. Ni mchanganyiko kwa mambo mazuri na ya kupotosha pia
 
jamani labda mtanisaidia, nifanyeje nimridhishe huyu mwanaume??? sasa kwangu kawa kama guberi haridhiki na mambo ninayompa chumbani japo hajishughulishi hata kuniandaa. na mbaya zaidi mume wangu huyu hata kama nikiwa kwenye 'siku zangu' anataka kuingia, jambo ambalo kikwetu ni mwiko. ukimkatalia anakutishia kutoka nje ya ndoa. .. jamani hii mwenzenu mbona imekuwa taabu tupu.


be able to performing two tasks on each interface.... Mpe ndogo atatulia mwenyewe..!
 
True..kutishiana hakufai for both couples. Hata mwanamke naye hatakiwi kuleta mgomo wa unyumba. La muhimu ni kushirikiana kama timu (work as a team). And don't be mean to each other. Don't say anything you can't take back.

Marriages are tough y'all and they are not for everybody.


Hii qoute of the week end....nimeipenda sana....some of the sentence you can not take them back like za mume wa dada huyo mwenye tatizo.
 
LOH Muhafiliko mkubwa huo!! Dada unataka kutwambia kuwa Unapokuwa Mwezini Mumeo hukuomba NYOTA ?
 
Kuna Mkuu Kwetunikwetu hapa JF kaweka kitabu fulani cha zamani sana...The Perfumed Garden" -This is a good resource book... I would recommend it to men and women.Kwa kweli kina mafundisho mazuri sana.

Jee hicho kitabu mtugaji amekiandika kufuatia mazingira ya watu gani ?kwani lazima ukumbuke kuwa kuna mambo ndani ya jamii yetu huwezi kumfanyia mwanamke au mume na ni mambo ya kawaida. Kuna rafiki mmoja aliniambia mkasa uliomfika kwa kumuomba aliyekuwa Mkewe ku(PERFORMING FELLATIO)MKE alimtukana na kumwita majina machofu yote mnayoyaelewa katika ulimwengu,sasa tukirudi swali la mulizaji kuhusiana na mumeme kutomtayarisha kuna maswali hapa ya kujiuliza jee yeye menyewe huwa anajitayarisha kiasi gani ?hapa naelezea matayarisho ya usafi na zile nguo za mvutio kwa mume silazima mtu avae zile chupi za ukamba, Kanga ni kivutio cha kutosha ukijuwa jinsi ya kuivaa ,leo kuna wanawake wangapi hawajawahi hata siku moja kunyonywa miguu yao pamoja na vidole vyake kwa sababu tu havitamaniki mguu umejaa keya halafu haupo msafi mtu anashindwa hata kutafuta kipande cha tofali akawa najisugulia pale anapo koga, sasa leo kweli hali kama hiyo mume atakuwa na hamu ya kumtayarisha mke kama huyo ?mume ataingia ajichovyee nakujiondokea zake.
 
Jee hicho kitabu mtugaji amekiandika kufuatia mazingira ya watu gani ?kwani lazima ukumbuke kuwa kuna mambo ndani ya jamii yetu huwezi kumfanyia mwanamke au mume na ni mambo ya kawaida. Kuna rafiki mmoja aliniambia mkasa uliomfika kwa kumuomba aliyekuwa Mkewe ku(PERFORMING FELLATIO)MKE alimtukana na kumwita majina machofu yote mnayoyaelewa katika ulimwengu,sasa tukirudi swali la mulizaji kuhusiana na mumeme kutomtayarisha kuna maswali hapa ya kujiuliza jee yeye menyewe huwa anajitayarisha kiasi gani ?hapa naelezea matayarisho ya usafi na zile nguo za mvutio kwa mume silazima mtu avae zile chupi za ukamba, Kanga ni kivutio cha kutosha ukijuwa jinsi ya kuivaa ,leo kuna wanawake wangapi hawajawahi hata siku moja kunyonywa miguu yao pamoja na vidole vyake kwa sababu tu havitamaniki mguu umejaa keya halafu haupo msafi mtu anashindwa hata kutafuta kipande cha tofali akawa najisugulia pale anapo koga, sasa leo kweli hali kama hiyo mume atakuwa na hamu ya kumtayarisha mke kama huyo ?mume ataingia ajichovyee nakujiondokea zake.
Asante ndugu,

1.Haya uliyoyauliza hapa ndiyo mengi utayakuta kwenye hicho kitabu.Inategemea wenye ndoa wenyewe... haina maana mmoja wenu tu ndiyo asome halafu atake kwenda kujaribisha bila mwenzie kujua chanzo cha ujuzi mpya ni wapi.Inapowezekana ni vema kushirikishan kwa kusoma pamoja na hata kama ni kuangali picha etc muone wote ili kuondoa wasiwasi na kutokuaminiana.
2.Kitabu hicho kina historia ndefu sana ila kwa kifupi ni kuwa kimeandikwa nadhani kati ya karne ya 13-15 A.D kama sikosei.. na mwandishi inasemekana alitokea huko Tunisia... lakini pia kina influence ya Uarabuni. Kimetafsiriwa mara kadhaa na wazungu - waingereza na hata wafaransa.Hii inaonyesha ni vipi maudhui yake yalionekana mali kwa jamii mbalimbali - wazungu, wahindi, na hata sisi waafrika.
3.Suala la usafi kwa kweli ni muhimu sana katika mahusiano - wanaume wengi wameweza kutekwa nje kwa vitu vidogo sana - usafi wa mwanamke na mapambo, manukato, chakula kizuri, lugha nzuri y amapenzi, usafi wa nyumba au mazingira kwa ujumla.Lakini tusisahau kuwa usafi ni muhimu kwa wanaume japo kwa mwanaume mchafu ni rahisi mkewe kumfanya awe msafi hasa panapokuwa na upendo baina yako.Mwanamke ana uvumilivu wa kumrekebisha mwanaume kuliko mwanaume kumvumilia na kumbadili mke mchafu!
 
True..kutishiana hakufai for both couples. Hata mwanamke naye hatakiwi kuleta mgomo wa unyumba. La muhimu ni kushirikiana kama timu (work as a team). And don't be mean to each other. Don't say anything you can't take back.

Marriages are tough y'all and they are not for everybody.

NN, Umesema kweli tupu ndoa zinataka uvumilivu wa hali ya juu. Na hata mnapogambana na kuanza kurushiana maneno inabidi uwe muangalifu mno katika kuchagua maneno yako au unaweza kuleta kasoro kubwa sana ndani ya ndoa yenu kutokana na maneno hayo ambayo itadumu kwa miaka mingi.
 
Back
Top Bottom