Nimridhisheje?

Mwiko wa KUMWINGILIA MWANAMKE WAKATI WA HEDHI naufananisha na Mwiko wa KUMKATAZA MWANAMKE ASILE MAYAI KWANI ATAZAA MTOTO ASIYE NA NYELE.

Duh ..tuko nyuma sana.
Nani aliyokuwa mbele kwa kwa kumuingilia mwanamke akiwa kwenye hedhi? Huyo mwanaume ni mroho tu mtu gani asioweza kuvumilia siku 3 au 5 ili mwenzake awe safi ndipo amtake penzi.
 
Nani aliyokuwa mbele kwa kwa kumuingilia mwanamke akiwa kwenye hedhi? Huyo mwanaume ni mroho tu mtu gani asioweza kuvumilia siku 3 au 5 ili mwenzake awe safi ndipo amtake penzi.

Kuku wako manati ya nini bana.
Unajiexpress tu.
 
Humpi vema kabla ya hedhi ndo maana anataka kila wakati! au ww ndo yule wa kimoja then basi! kama rijali kweli atakuwa anataka kila siku kwa mwendo wa kimoja kimoja!

Unatakiwa muwe mnatafuta muda wa kumalizana, ijumaa flani ambayo kesho yake kama anaendesha gari manual ashindwe!! sio kimoja, si atataka kila siku alaaaa!
 
Jamaa anatumia za ku-boost nini???? labda na wewe utumie ili mlingane nguvu.
Chonde chonde jamaniiii msifanye hivyoo!!!! coz she has got a serious problem
mie naona huyo mwanaume hajiamini inaweza kuwa alikuwa na matatizo ya kusimamisha hapo mwanzoni labda kunadawa anatumia sasa anaona kama akiacha na yenyewe italala forever, hey seriously huyo mwanaume needs a real counseling na kama tuwajuavyo wanaume wa kibongo na counseling wanahisi kama vile kujidhalilisha basi nadhani give yourself first priority mummy jijali wewe kwanza na afya yako, sema NO when you feel NO akikutishia kwenda nje mwambiee Go ahead coz huna uhakika kwamba haendi, but shost tukiangalia upande mwingine wa shilingi namaanisha wewe pia unahitaji kuwauliza wakubwa zako kwamba unayomfanyia huyo mumeo ndio yanatosha au kuna mengine huyajui inawezekana huyo bwana kwenye pitapita yake huko nyuma keshapewa mahallat, maanjuamat na mahabba ya nguvu mwaya sasa mummy weye ukimletea zile za kich.......a za kusoma magazeti au style ni moja tu au mbili hutaki kuexplore au mapenzi kitandani tu jikoni huyawezi au kila siku uanzwe wewe tuu kuombwa weeee humuoneshi kwamba unamtamaniii nayo shida shost wanaume huwa wanareact vitu ambavyo wewe unaweza kuona vidogo kwao ni vikubwa kama sisi tunavyopenda kudekezwa na kujaliwa na usipojaliwa na mwenzio unanuna na kuona hupendwi mummy mapenzi yanaenda both ways , SO JIANGALIE MWENYEWE KWANZA KISHA UMWANGALIE MWENZIO.....
 
hehehe niambia Nyamayao.
Ukweli utabaki pale pale mahawara wana enjoy sana kuliko nyie mlioko kwenye PINGU za maisha.




yaani mie raha najipa mwenyewe ndio maana nafanya kazi kwa bidii, kila mtu anakula kutokana na urefu wa kamba yake Fidel....lol, yaani mie kufikiria kwamba hawara anafaidi cjui nini na nini ndio haipo kichwani, heshima ishike mkondo wake basi hayo mengine hayanihusu....wewe ingia huko acha uoga wako...
 
hapo ndo ujue wewe dada kuwa ni mtamu sana..maana ka jamaa anataka hadi wkt uko mwenzini..daa..kweli una utamu uliotulia..sasa jamaa anadata hadi midamu haioni hiyo..muelimishe atakuelewa..swla la maandalizi nayo ni shule ya aina yake..mwelezee kuwa ni muhimu stages zote azipitie kwanza kabla hajakupa kitu ndani ya box..pole..mvumilie lkn
 
"jamani labda mtanisaidia, nifanyeje nimridhishe huyu mwanaume??? sasa kwangu kawa kama guberi haridhiki na mambo ninayompa chumbani japo hajishughulishi hata kuniandaa. na mbaya zaidi mume wangu huyu hata kama nikiwa kwenye 'siku zangu' anataka kuingia, jambo ambalo kikwetu ni mwiko. ukimkatalia anakutishia kutoka nje ya ndoa. .. jamani hii mwenzenu mbona imekuwa taabu tupu."

Lo! Omugasi, "Watuswasha" ambhaghasi mbha Musoma, yaani umeshindwa kabisa kumsema huyo shemeji yetu!, nijuavyo mimi wanawake wa musoma huwa hatufanyiwi hivyo kabsa kwamba hata ukiwa kwenye siku zako anataka, imekaaje hiyo! Haifai hata kidogo mkalishe umuongeleshe hachana na hawa watu wanaokuwambia kumlamba koni sijui tigo, waala havihusiani na wala havitamridhisha kama si wakuridhika, eti anakutishia ataenda kutafuta mwanake mwingine, kwani hata sasa hivi unauwakika gani kama hana. Halafu na wewe halujatufafanulia vizuri kwamba akishakulazimisha huwa unampa ukiwa kwenye siku zako? Na je tatizo limeanza lini na mna miaka mingapi kwenye ndoa? Unavyotufafanulia ndivyo tutakushauri vizuri zaidi.

Safina.
 
Haya tucheki na hii literature kidogo toka India kwa mabinti "wabichi" walioolewa..
 

Attachments

  • Young married women sexual behaviour.pdf
    77.7 KB · Views: 62
Pole mpezi. Ushauri wangu ni kwamba inabidi utafute njia ya kuongea na huyu bwana. Inakuwaje unamuogopa mpezi? Jaribu kijifunza au kumfudisha foreplay na taratibu atajifunza jinsi ya kukushika na kujua nini unapenda but the bottom line is learn how to communicate with him. How long have you guys been married?
 
Sasa jamani... nyie wanaume how do u get ready for a new life as a married man hasa pale mkeo atakuwa kapikwa vilivyo? Je hamuoni kunakuwa na expectations pia kwa upande wa mke? Au wanaume wanafikiri hawana role?[/QUOTE]


wanafikiria they know it all....yaani wanaudhi sana..mijitu mingine bwana....tsssssssssskkkkkkkkkkkkkk..msonyo huo!
 
Chonde chonde jamaniiii msifanye hivyoo!!!! coz she has got a serious problem
mie naona huyo mwanaume hajiamini inaweza kuwa alikuwa na matatizo ya kusimamisha hapo mwanzoni labda kunadawa anatumia sasa anaona kama akiacha na yenyewe italala forever, hey seriously huyo mwanaume needs a real counseling na kama tuwajuavyo wanaume wa kibongo na counseling wanahisi kama vile kujidhalilisha basi nadhani give yourself first priority mummy jijali wewe kwanza na afya yako, sema NO when you feel NO akikutishia kwenda nje mwambiee Go ahead coz huna uhakika kwamba haendi, but shost tukiangalia upande mwingine wa shilingi namaanisha wewe pia unahitaji kuwauliza wakubwa zako kwamba unayomfanyia huyo mumeo ndio yanatosha au kuna mengine huyajui inawezekana huyo bwana kwenye pitapita yake huko nyuma keshapewa mahallat, maanjuamat na mahabba ya nguvu mwaya sasa mummy weye ukimletea zile za kich.......a za kusoma magazeti au style ni moja tu au mbili hutaki kuexplore au mapenzi kitandani tu jikoni huyawezi au kila siku uanzwe wewe tuu kuombwa weeee humuoneshi kwamba unamtamaniii nayo shida shost wanaume huwa wanareact vitu ambavyo wewe unaweza kuona vidogo kwao ni vikubwa kama sisi tunavyopenda kudekezwa na kujaliwa na usipojaliwa na mwenzio unanuna na kuona hupendwi mummy mapenzi yanaenda both ways , SO JIANGALIE MWENYEWE KWANZA KISHA UMWANGALIE MWENZIO.....


mmmmmnh Agika bwana hata kupumua??? hamna hata komma au fullstop nimesoms i amost collapsed lol..gud advice though!!
 
kwakweli ni kwli kwamba Mpe tandao ulio enea kute Duniani ambao ni Tigo huo mtandao hauna mipaka.
 
mmmmmnh Agika bwana hata kupumua??? hamna hata komma au fullstop nimesoms i amost collapsed lol..gud advice though!!
asante mkuuu kweli nilikuwa sipumui nilikuwa na ari na mashamsham ya kumfungua mwenzangu macho.......
 
Pole sana ndugu yangu. nilichogundua hapo mmekosa maandalizi murua. maandalizi ya kiakili hadi mazingira ya kawaida. hebu jaribu kuwa msafi wa mwili na roho ile over and above, katika kipindi cha shughuli tumia lugha ambayo niya mazingira hayo maana isiwe tena wakati wa shughuli wewe unaanza kuongelea mambo mengine. Pia jifunze na utundu kidogo ndugu yangu, kula koni, na mengine mengi...... lazima ataacha kwenda nje na hiyo tabia ya kukuhitaji ukiwa kwenye ..... itakoma. Amri kuu ni Upendo
 
kuna uhaba wa elimu kati yenu wote wawili juu ya mapenz, mumeo amezid sana.

ni mwenyeji wa wapi?
kaa nae baada ya kushauriwa humu ndani
 
ni mwenyeji wa wapi?

kwikwikwi hahahahahaha heheheheheh kwani siku hizi kuna cha kusema mwenyeji wa mahali fulani anakuwa hivi. hata wale waliokuwa wako nyuma kimapenzi siku hizi wako matawi ya juu. Hao wana kitu wana differ tu ila sio suala ya uenyeji
 
Mfundishe huyo mumeo namna ya kufanya mambo vizuri. Kina mama ni walimu wazuri sana wakiacha kuwa na aibu. Mwelimishe kwani si wanaume wote wanajua mwanamke anachotaka au anavypaswa kuwa treated katika mambo ya chumbani.

Zaidi umvumilie. Wengine wana nguvu kama farasi. Vumilia. Ndiyo ndoa mama.

Nakubaliana na Babuyao. Chukua hatua ya kumfundisha kwa kuwa wewe ndiye unaejua unachotaka, kwahiyo inapotokea yuko kwenye mudi nzuri unaweza kuchombezea namna unavyotaka akufanyie kama ni mtu aliye tayari kujifunza atabadilika.

Kuhusu kutaka vitu wakati wa siku, hiyo ni kawaida ya wanaume kwa kuwa wakati mwingine wanawake huvutia zaidi wakiwa katika siku zao, lakini si lazima amalize hamu yake kwa njia hiyo, unaweza kumridhisha kwa michezo mingine kama "kuramba cone" na mengineyo na akaridhika kabisa. kwahiyo muelimishe tu kwa upendo bila shaka ataelewa
 
Kuna Mkuu Kwetunikwetu hapa JF kaweka kitabu fulani cha zamani sana...The Perfumed Garden" -This is a good resource book... I would recommend it to men and women.Kwa kweli kina mafundisho mazuri sana.
Kingelitolewa kwa lugha ya Taifa naona kingewasaidia wengi na ujumbe ungelifanikiwa kuiifikia jamii kwa ukamilifu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom