Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,576
- 552
Nani aliyokuwa mbele kwa kwa kumuingilia mwanamke akiwa kwenye hedhi? Huyo mwanaume ni mroho tu mtu gani asioweza kuvumilia siku 3 au 5 ili mwenzake awe safi ndipo amtake penzi.Mwiko wa KUMWINGILIA MWANAMKE WAKATI WA HEDHI naufananisha na Mwiko wa KUMKATAZA MWANAMKE ASILE MAYAI KWANI ATAZAA MTOTO ASIYE NA NYELE.
Duh ..tuko nyuma sana.