MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Mi nafikiri ofisi yako bibie iko vizuri, ndo maana jamaa anataka ashinde humo ndani. Nafikiri siku chache kabla ya siku zako inabidi round ziongezwe hadi 5 ili ukamue kila kitu abakiwe na povu tu. Kwa mtindo huo ataweza kuvumilia kwa siku angalau mbili tatu. Ila ni jambo la kushukuru Mungu kwani wanzako wanalalamika kuwa wanakata hata wiki mbili hawajaguswa.
Anza mazoezi kuhimili mbio ndefu.
Kwani mumeo ni mtu wa musoma??????
Whisper
unataka kunieleza kuwa hii ni bahati?!