Nimpende nani JF

Nimpende nani JF

Tresor Mandala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
43,241
Reaction score
90,419
Nimpende nani...Nimpende nani

wazuri JF ni wengi ila kupata wa ukweli ni balaa
wengi nia wajanja watoto wa mjini wamejaaa Tamaa


asiwe kama FF kila kitu kupinga,awe kama Preta..ili nipate raha
sio Mwali naogopa kila mtu atamkubali....

JF chit Chat....
 
sio siri unajob ya kufanya. lakini kwani lazima huku jf.mchukue yule house girl wenu huyo atakuwa na adbu sana
 
Nimpende nani...Nimpende nani

wazuri JF ni wengi ila kupata wa ukweli ni balaa
wengi nia wajanja watoto wa mjini wamejaaa Tamaa


asiwe kama FF kila kitu kupinga,awe kama Preta..ili nipate raha
sio Mwali naogopa kila mtu atamkubali....

JF chit Chat....
Hapo jomba umepatia!
Katika wooote wanaomsaundi huyu binti, wewe ndo wamfaa!
Kwa taarifa anahitajika mtu aliyetuliza akili, na sharti lake ni PENZI tu....hataki mia ya mtu!
 
Hapo jomba umepatia!
Katika wooote wanaomsaundi huyu binti, wewe ndo wamfaa!
Kwa taarifa yako, yuko vacant, na anahitajika mtu aliyetuliza akili, na sharti lake ni PENZI tu....hataki fedha!​


PJ...umejuaje mkuu...JF wazuri wengi..lakini kama Preta kumpata ndio balaa..mtoto hana Tamaa
 
Hapo jomba umepatia!
Katika wooote wanaomsaundi huyu binti, wewe ndo wamfaa!
Kwa taarifa anahitajika mtu aliyetuliza akili, na sharti lake ni PENZI tu....hataki mia ya mtu!

Mi nahitaji mia yake as hata hiyo mia ya kumpa sina..
Nipigie Chapuo basi Jombaa
 
Mi nahitaji mia yake as hata hiyo mia ya kumpa sina..
Nipigie Chapuo basi Jombaa
We nae broda umezidi ugumu sasa!
Ingekuwa ni mimi namchukulia mkopo Bank Of Baroda, au nauza shamba la Urithi!
 
We nae broda umezidi ugumu sasa!
Ingekuwa ni mimi namchukulia mkopo Bank Of Baroda, au nauza shamba la Urithi!​


PJ...mbn unanisaliti sasa...mwenzio namtafutia zawadi ya X mass kwa ajiri ya Preta..TANMO...we mpotezee bana...acha dogo dogo ije kwangu
 
We nae broda umezidi ugumu sasa!
Ingekuwa ni mimi namchukulia mkopo Bank Of Baroda, au nauza shamba la Urithi!

Siyo ugumu kaka, ni hali halisi.
Ili upate kitu inabidi uwe na kitu, huo mkopo nitaupataje wakati sina dhamana?
Manake kila kukicha napigwa vibuti kwa sababu ya kutokuwa na hiyo mia,
Wengi wanataka wenye mia, sasa kama yeye haitaji huoni kwamba ananifaa zaidi?
Cha muhimu naahidi Upendo wangu kwake mpaka kifo kitutenganishe, lol

Piga chini hii habari ya kuninanga hapa kafanye mambo kabla Mtu Chake hajaniwahi Bana..!
 
Siyo ugumu kaka, ni hali halisi.
Ili upate kitu inabidi uwe na kitu, huo mkopo nitaupataje wakati sina dhamana?
Manake kila kukicha napigwa vibuti kwa sababu ya kutokuwa na hiyo mia,
Wengi wanataka wenye mia, sasa kama yeye haitaji huoni kwamba ananifaa zaidi?
Cha muhimu naahidi Upendo wangu kwake mpaka kifo kitutenganishe, lol

Piga chini hii habari ya kuninanga hapa kafanye mambo kabla Mtu Chake hajaniwahi Bana..!​


Mkuu unajaribu kujitia huruma ili mtotot Preta akuonee huruma eeh....haya bana..ila mie mmachinga mjanja..na nang'oa hiyo ngoma man aalone..maana naona unataka kuunganisha nguvu na PJ
 
Shughuli pevu iko.

Umeona eeh...ila Jamaa TANMO..anaingilia viwanja vya watu....kasahau kuwa JF wako akina AshaDii,Afrodenzi na watu kama hao...
 
Siyo ugumu kaka, ni hali halisi.
Ili upate kitu inabidi uwe na kitu, huo mkopo nitaupataje wakati sina dhamana?
Manake kila kukicha napigwa vibuti kwa sababu ya kutokuwa na hiyo mia,
Wengi wanataka wenye mia, sasa kama yeye haitaji huoni kwamba ananifaa zaidi?
Cha muhimu naahidi Upendo wangu kwake mpaka kifo kitutenganishe, lol

Piga chini hii habari ya kuninanga hapa kafanye mambo kabla Mtu Chake hajaniwahi Bana..!
Broda,
Unataka kusema hata shamba la Urithi umekosa?
Ushikwapo shikamana mazee!...Vinginevyo naona kasi ya MTU CHAKE ni Supersonic!
Angalia kwa umakini hii mambo broda!
 
Broda,
Unataka kusema hata shamba la Urithi umekosa?
Ushikwapo shikamana mazee!...Vinginevyo naona kasi ya MTU CHAKE ni Supersonic!
Angalia kwa umakini hii mambo broda
!

hahahahahaha...MTU CHAKE anachukua CHAKE...ila tuache utani PJ..Preta kasimama ujue..
 
Mkuu unajaribu kujitia huruma ili mtotot Preta akuonee huruma eeh....haya bana..ila mie mmachinga mjanja..na nang'oa hiyo ngoma man aalone..maana naona unataka kuunganisha nguvu na PJ
Broda mi ni kweli ningependa apate ishu.
Shida yake analia mno!
Hata masikini kule kijijini kwake wanamiliki KUku bana, na ukiuza kuku 10 wa kienyeji tayari una KILO!
Sasa kaENI na Preta na hiyo Kilo pale SISI KWA SISI pub, uone kama hataelewa somo lako!
Ugumu hausaidii!
 
!

hahahahahaha...MTU CHAKE anachukua CHAKE...ila tuache utani PJ..Preta kasimama ujue..
Mkuu,
Hilo liko hazarani, hata yeye binafsi anajua, ndio maana anawatesa watu sana hapa jamvini!
Sasa broda sikia tuongee!
Nakuona wewe uko siriaz ZAIDI kuliko TANMO!
Mimi nina namba zake Preta!
Sa fanya kutuma hiyo alfu 50 YA KARIBU ili niue soo!
Nkuhakikishia unalamba dume!
Achana na wa kuja TANMO!
 
Broda mi ni kweli ningependa apate ishu.
Shida yake analia mno!
Hata masikini kule kijijini kwake wanamiliki KUku bana, na ukiuza kuku 10 wa kienyeji tayari una KILO!
Sasa kaENI na Preta na hiyo Kilo pale SISI KWA SISI pub, uone kama hataelewa somo lako!
Ugumu hausaidii!

PJ..mbona unazidi kumpa mbinu ili ashinde hii game...mbaya zaidi unamtajia hadi chimbo la kwenda kutumia..dah...inabidi nikaze vinginevyo PJ na TANMO watafanikiwa...ila mie siuzi kuku wala nini..nasema na Bonus yangu tu ya umachinga kilo MBILI mkononi..na Mweka Preta KAWE CLUB kula BATA mwanzo Mwisho
 
Mkuu unajaribu kujitia huruma ili mtotot Preta akuonee huruma eeh....haya bana..ila mie mmachinga mjanja..na nang'oa hiyo ngoma man aalone..maana naona unataka kuunganisha nguvu na PJ

Mkuu kama una kisu si utafute mwingine Bana, mi namtaka Preta ili anitatulie umasikini wangu, kuwa na huruma basi Arifu?
 
Broda,
Unataka kusema hata shamba la Urithi umekosa?
Ushikwapo shikamana mazee!...Vinginevyo naona kasi ya MTU CHAKE ni Supersonic!
Angalia kwa umakini hii mambo broda!

Mkuu isijekuwa unataka niuze shamba la urithi ili ule pesa yangu, huoni kwamba Mtu chake ana miopsheni kibao mkuu?
Alianza na Smile akaja sijui nani mwishoe ndo akaamua kuangukia kwa Preta,
huyu jamaa atamliza tu Preta bana, mkabidhi kwangu kwenye mikono salama, umasikini wangu usikutishe, ipo siku nitakuwa tajiri kama Rizuwani...
 
Mkuu kama una kisu si utafute mwingine Bana, mi namtaka Preta ili anitatulie umasikini wangu, kuwa na huruma basi Arifu?​
Jombaa ujue nimemchagua hy binti..ananivurugaga ile kinyama...we kama vipi amishia majeshi kwa Afrodenzi..Arifu..ila huyo mtoto Preta acha niruke naye ...
 
Back
Top Bottom