aimi lyatuu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 761
- 841
Ungerekodi ingekuwa Mali sana..ukimwambia c kavu without evidence atakuona mchonganishi coz wamekuzidi kipochi...cha msingi zungusha ujumbe kama wazee wa kale akikumanya fresh akikupotezea fresh mikono yako haiko na hatia sbb picha likiwa wazi cha kujitetea unacho mzee-baba