Nimfanyeje huyu baba mwenye nyumba mpiga chabo?

Nimfanyeje huyu baba mwenye nyumba mpiga chabo?

Ivi bado watu naomna hii bado wapo wanao piga chabo? yani sielewi wanapata raha gani kwakuchungulia wenzao sasa kama usiku na giza inakuwaje?
 
Maoni ni mengi ulopewa sasa amua mwenyewe la kufanya. Ila ka ni miye, ningemwacha azoee halafu ukifikia karibu na mshindo chomoa kimbilia langoni penye hilo tobo, achia haraka itamsafisha jicho lione vizuri. Hiyo ndo dawa ya kuzibia macho ya mpiga chabo.
 
Ni Miez Mitatu Sasa Toka Nihamie, Lakin Kuna Jambo Moja Nimeligundua, Milango Yote Ina Kitobo Kidogo Kinachohitaji Umakini Kukigundua.

Cha Ajabu Nilipojaribu Kumtaarifu Baba Mwenye Nyumba Wangu Kukiziba...Alikuja Juu Na Kusema ,Niiache Nyumba Yake Kama Ilivyo. Nikaona Ngoja Niwadodose Wapangaji Wenzangu.

Walinishangaza Waliponiambia Hilo Tundu Ni Kazi Maalum Kwa Baba Huyu. Nimegundua Analitumia Kutupiga Chabo Na Ndio Maana Anataka Vijana Waliooa Ndio Wapange Hii Nyumba!

Tafuta u.p.u.p.u tumbukiza kiasi kkidogo kwenye hako katobo, kisha act uko ktk mahaba wakati uko pale mlangoni kuwa makini ili uwe na uhakika kuwa jicho lake liko on target, akiwa on ttarget puliza u.p.u.p.u. Kitakachotokea atashindwa hata kumwambia mkewe.
 
Hilo tundu lina kipenyo cha ukubwa gani mpaka uombe baba mwenye nyumba akzibie? Huo si ni uzembe wako mwenyewe....

Nunua Seal Tape (solotepu)na ubandike kwa karatasi ngumu kwa ndani umalize tatizo...
Hasara ya nini? Anunue big G aitafune ikiisha radha lile pira abandike kwenye hicho kitobo. Kwisha!
 
Tafuta u.p.u.p.u tumbukiza kiasi kkidogo kwenye hako katobo, kisha act uko ktk mahaba wakati uko pale mlangoni kuwa makini ili uwe na uhakika kuwa jicho lake liko on target, akiwa on ttarget puliza u.p.u.p.u. Kitakachotokea atashindwa hata kumwambia mkewe.
Au atafute pili pili kichaa kavu aisage kisha aweke unga hapo ndani ya kitobo kisha zee likija tu kuchungulia apulize iingie machoni
 
Hilo tundu lina kipenyo cha ukubwa gani mpaka uombe baba mwenye nyumba akzibie? Huo si ni uzembe wako mwenyewe....

Nunua Seal Tape (solotepu)na ubandike kwa karatasi ngumu kwa ndani umalize tatizo...

Mkuu hawa masharobaro wa kidigital siku hizi hawawezi lolote hata kifungo cha shati kikichomoka wanapeleka kwa fundi cherehani anawashonea kwa buku 2 wakati ni ishu ndogo ya kukishonea wenyewe kwa sindano ya mkono. Wamelegea sana kwa sababu ya ''zege'' (chips yai).
 
Ivi bado watu naomna hii bado wapo wanao piga chabo? yani sielewi wanapata raha gani kwakuchungulia wenzao sasa kama usiku na giza inakuwaje?

Mkuu Hayo Mambo Ya Chabo Yako Sana Uswahilini
Wapiga Puri Ndio Zao Hizi
Muulize Albosignathus...atakupa Data Ya Utamu Wake
 
Last edited by a moderator:
Maoni ni mengi ulopewa sasa amua mwenyewe la kufanya. Ila ka ni miye, ningemwacha azoee halafu ukifikia karibu na mshindo chomoa kimbilia langoni penye hilo tobo, achia haraka itamsafisha jicho lione vizuri. Hiyo ndo dawa ya kuzibia macho ya mpiga chabo.

Pilikapilika Hizi Nimezikubali Mkuu
Mpaka Nimkomeshe Huyu
 
Back
Top Bottom