namlexink
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,434
- 945
hahahaaaa!kabisa yaani!Kimbia kimbia mkimbie huyo. Askari police au mwanajeshi usithubutu kuoa nakushauri kiroho safi.
tafuta mwanamke mwengine oa hata muuza genge yaaani Mkuu kama kweli unaomba ushauri.
ukilazimisha utakuja kuomba tena hapa hapa ushauri.
Thanx kwa mchango wako mamii,tatizo ni night shift hazifai ,yaani mwanaume unakumbatia mto na baby yuko doria,hapo usingizi hauji hasa ukifikiria daah jamaa huko watamsalimisha kweli?.Oa tuu..
Daah maarabukuuuu.wape dawa ya minyoo mkuu
yaani wale hawafaiiiii hata buree, huyu kijana mwenzangu namhurumiahahahaaaa!kabisa yaani!
Askari mitihani sana
Nna kiss cha mfanyakazi mwenzangu mmoja dahh!ni nomaà...!
Wale wanaoana wenyewe kwa wenyewe!
wale wanachukuana wenyewe kwa wenyeweyaani wale hawafaiiiii hata buree, huyu kijana mwenzangu namhurumia
hakuna anaemtisha, ameomba ushauri na amepewa swala la maamuzi liko chini yake ila wadau wamefunguka wamemwambia hao watu sio kabisaWatu wapo busy kumtisha dogo nadhani anajuta kuleta suala lake hapa. Uzinifu ni hulka ya mtu na sio kazi yake ndo maana utakuta mabint kwao mambo Safi ila wanagongwa kichizi so kama mmependana na umemsoma japo kiduchu tabia maana binadamu kwa ghilba na kujifanyisha (pretender )hatujambo basi fumba macho upige goti au mpandishe penye altare kila la kheri.