rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Mwache.
haaaaa haaaa haaaa umetisha mkuu!Mapenzi hayaangalii kazi,kabila wala dini.
Mbona mimi nmeoa barmaid na tunaishi vizur tu na tumebahatika kupata watoto.
Hao[emoji116] View attachment 383632
Huo ni mtindo wa kunyoa tu, wala usiwe na shakacheki nywele za alieketi
nimecheka sanawape dawa ya minyoo mkuu
Kumuoa Mwanamke polisi au mwanajeshi ni Risky sana kutokana na mazingira ya kazi zao.Salaam wanaukumbi,
Natuma wazima na mnaendelea salama na pilika za kutafuta riziki. Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kumpenda askari polisi wa kike na yeye ananipenda sana. Ila kabla ya hapo hakuwahi kuniambia mapema.
Pamoja na kutofahamu mapema kazi yake kwangu halikuwa tatizo nampenda sana binti huyu na nataka kumuoa nimweke ndani.
Naomba ushauri wenu na nasaha zenu namna ya kuishi vizuri na watumishi wa kada hii.
Ni muhimu kama wewe ni mfuasi wa UKUTA achana naye haraka sanaSalaam wanaukumbi,
Natuma wazima na mnaendelea salama na pilika za kutafuta riziki. Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kumpenda askari polisi wa kike na yeye ananipenda sana. Ila kabla ya hapo hakuwahi kuniambia mapema.
Pamoja na kutofahamu mapema kazi yake kwangu halikuwa tatizo nampenda sana binti huyu na nataka kumuoa nimweke ndani.
Naomba ushauri wenu na nasaha zenu namna ya kuishi vizuri na watumishi wa kada hii.
Ndoa hizi zinaitwa benpomoyo,Askari?? Lazma uchapiwe we oa lkn angalia usijiue