Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,617
Umeingia choo cha kike wewe! Polisi! Wacha waoane wenyewe ...Salaam wanaukumbi,
Natuma wazima na mnaendelea salama na pilika za kutafuta riziki. Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kumpenda askari polisi wa kike na yeye ananipenda sana. Ila kabla ya hapo hakuwahi kuniambia mapema.
Pamoja na kutofahamu mapema kazi yake kwangu halikuwa tatizo nampenda sana binti huyu na nataka kumuoa nimweke ndani.
Naomba ushauri wenu na nasaha zenu namna ya kuishi vizuri na watumishi wa kada hii.
Leo niko lind**** ... itakuweje?
Huko lind****ni ndugu yangu ni balaa tupu ...