Chukulia poa tu, isikuumize kichwa na wala usihesabu ni mtoto wako huyo.
Na siku wa kwako akijazwa, chukulia vilevile, 'poa tu'! Na uhesabu mtoto ni wako japo hukutia mimba.
Pamoja.
Kwa hiyo ukiambiwa tu nina mimba yako baaaaas nawe unabeba mimba ya mawazo!!!!!
Watoto wa hivyo ni wengi najua kila familia wapo hata kama mtakataa. Toa msaada pale atakapotaka.
Do I understand what am reading???????
You mean hata wewe umepiga hii mambo???!!!!
....Nikawa nimefanya nae mapenzi....sasa hivi ni mjamzito na ana mimba yangu.....