Nimezaa na mke wa Mtu

Nimezaa na mke wa Mtu

Usijali sana maana hata wewe unalea watoto wa watu.watakulelea tu.
 
Topic: Nimempa Mimba mke wa mtu

Wadau,

Tangu nasoma sekondari miaka takribani 13 iloyopita huyu binti alikua ananipenda sana....Lakini mimi nilikua mwoga na sikuwa tayari kuwa nae kwenye mahusiano....Baada ya kumaliza kidato cha nne akawa ameenda nje ya nchi kwa masomo mengine...hatukuweza kuonana tena hadi miaka 2 iliyopita.Ambapo tulipoonana tayari alikuwa mke wa mtu na ana mtoto mmoja.....Tulipoonana tena huyu dada akaendelea kuwa too desperate kuonesha ananipenda sana...Mimi niliendelea kuwa resistant kwa kuheshimu ndoa yake....

Miezi mitatu iliyopita uzalendo ulinishinda.....Alikuja kunitembelea kwangu....Nikawa nimefanya nae mapenzi....sasa hivi ni mjamzito na ana mimba yangu.....Sasa wadau hapa ndo kuna ugumu kidogo...Ni mke wa mtu......amegoma kuitoa...anasema anataka damu yangu.......Mimi shida yangu kubwa ni kwamba sitaweza kuwa na connection ya wazi kumlea mtoto wangu...Nisahaurini nifanyeje hapa.
ndo wale wale...swali unauwakika ngani mimba ni yako?
 
una uhakika kwamba ww ndo baba wa mtoto au amekwambia tuu na ww umekamatia hapo hapo
 
:A S angry::A S angry: Umezaa na mke wa mtu, na mimi ni mtu, ushauri unakuwa mgumu.
 
Wewe ni --------, unajua wazi ni mke wa mtu na unalala naye,au alikubaka? Akili haikuwepo au akili ilihamia sehemu za chini?siwezi kukushauri chochote maana ulidhamiria kufanya hivyo na matokeo yake ndo hayo uyakubali pia.
 
mtume muhammad swallallahu alayhi wasallam amesema 'ittaqu nnisai,wattaqu duniya' maana yake 'waogopeni wanawake na iogopeni dunia'.
 
Post za namna hii mziache huko facebook huku ni great thinkers,halafu unavyoongea utafikiri labda ni jambo zuri umefanya?ngojea mumewe akufaham utaisoma namba.
 
Mshirikishe mumewe,kama wanaume mtafute suluhisho.
 
kwanini ulimuonyesha unapoishi??? alivyoanza tu kuja kwako ndio ungekuja kuomba ushauri ingesaidia, ila sasa hivi umechelewa,mwache azae tu.
 
Back
Top Bottom