Ahahahaaaaaaaa..
Dogo una-uhakika gani kuwa mimba ni yako?...kama ni ya mumewe yeye kakuambia ni yako unajuwaje?...na kwanin hukuvaa au kumvisha yeye ndomu?...mulilima wote mukapanda wote sasa jiandaeni kuvuna wote..usimletee mambo ya joto hasira hapa.
Pia kuhusu huyo mtoto kuzaliwa na wewe kukosa koneksheni na "mwanao"..tatizo nini?...subiri majirani watamwambia huyo mtoto kuwa wewe ni babake then akikufuata mpe pesa ya matumizi na mwambie amwambie babake mlezi kuwa wee ndio biological father wake.
Pia ukiona ni mbali saaaaaana kusubiria connection na mwanao kijachoooo...mwambie huyo mwasherati mwenzio kuwa "unamwambia mumewe wa ndoa kuwa mkewe ana mimba yako kama vip akuachie mkewe ulee mimba yako akizaa uchukuwe mwanao yeye abaki na mkewe au kaa vipi amwambie mkewe atoe mimba yako mapema kuepusha usumbuvu baadae.
Ukishindwa vyooooooteeee...futa namba yake ya simu, badili namba yako na email adress zako kisha hama mkoa au nchii kisha anza upya maisha yako.
Full of options ..you choose the best for you.
Ahahahaaa..thanks again.