Ngondombole
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 646
- 184
Kijana kuwa makini na unachokifanya, kuna siku itakutokea puani....!!
Kwanza, wee umezaa na mke wa mtu au umempa mimba mke wa mtu? SUbiri mtoto wa akizaliwa utajua la kufanya, sasa endelea kukata mauno tu bila ngoma.
Loh.....matumizi binafis ndo yapi hayo?
hiyo option yako ya kuua sio salama mkuu...na haifai...hahaha.......nasikia kuna medics zinaweza kuharibu hiyo kitu.....coz yeye hataki kuitoa hii mimba...its confusing
mwanamke akiwa na mimba , ndiyo tayari umeshazaa naye?
mwanamke akiwa na mimba , tayari inakuwa ni mimba yako?
Huyu ndie Kongosha bandugu: kwa wale msiomfahamu!
Whatever happened to manhood?
Topic: Nimempa Mimba mke wa mtu
Wadau,
Tangu nasoma sekondari miaka takribani 13 iloyopita huyu binti alikua ananipenda sana....Lakini mimi nilikua mwoga na sikuwa tayari kuwa nae kwenye mahusiano....Baada ya kumaliza kidato cha nne akawa ameenda nje ya nchi kwa masomo mengine...hatukuweza kuonana tena hadi miaka 2 iliyopita.Ambapo tulipoonana tayari alikuwa mke wa mtu na ana mtoto mmoja.....Tulipoonana tena huyu dada akaendelea kuwa too desperate kuonesha ananipenda sana...Mimi niliendelea kuwa resistant kwa kuheshimu ndoa yake....
Miezi mitatu iliyopita uzalendo ulinishinda.....Alikuja kunitembelea kwangu....Nikawa nimefanya nae mapenzi....sasa hivi ni mjamzito na ana mimba yangu.....Sasa wadau hapa ndo kuna ugumu kidogo...Ni mke wa mtu......amegoma kuitoa...anasema anataka damu yangu.......Mimi shida yangu kubwa ni kwamba sitaweza kuwa na connection ya wazi kumlea mtoto wangu...Nisahaurini nifanyeje hapa.
Duh mkuu hizi nondo balaa......I will choose the best for me.....Ila nin uhakika hadanganyi coz hakuna sababu ya kudanganya
Mkuu,Mwanamke ndiye anaeweza kujua mimba ni ya nani.....Kwangu mimi naona hana sababu ya kunidanganya kwamba mimba yangu na wakati si yangu.....Ila ana sababu ya kumdanganya mumewe
He he he he, upo mkuu?
Hana sababu? Kwa hiyo na mmewe atamuambia mimba si yake bali ni yako?
Kama anaweza kumdanganya mmewe, we ni nani asikudanganye?
Mke wa mtu anayetoka nje ya ndoa mpaka anapata mimba huyo ni malaya. Period!
Mchunguze sana hiyo mimba anaweza akawa kawauzia wengi tena labda kwa makubaliano na mmewe ili watengeneze hela. Nimeishi miaka mingi nimeshuhudia mengi.
Kazi ni kwako!!!!
Kabla hujampa dawa ya kuharibu mimba, nadhani haribu kwanza koro.dani zako zilizotoa mbegu hiyo
Kongosho,Sina uhakika kama umenielewa concern yangu ni ipi katika ishu hii nzima.....Concern yangu kubwa iko kwenye statement ya mwisho kwenye original thread yangu "Mimi shida yangu kubwa ni kwamba sitaweza kuwa na connection ya wazi kumlea mtoto wangu...Nisahaurini nifanyeje hapa" Sasa sema katika hilo....Pia unatakiwa ujue kwamba sikatai fact kwamba ni kosa nimefanya kumpa ujauzito mke wa mtu....but thats how we learn...and we learn from people like youNingekuwa ni mie umeniti mimba, ningekutolea mahari. Hakika unafaa kuwasmall hausi, unatetemeka kabla ya tukio, adabu mbele kama tai. Safi sana, unatakiwa kuwa na woga kwa mume mkubwa.
Shake! Shake! Freeland Shake! SHake! Very soon you will be 'Paidland', not free anymore.🙂