Nimeweza kuacha pombe. Miaka 4 sasa

Nimeweza kuacha pombe. Miaka 4 sasa

Walevi wameshaanza kukukatisha tamaa, usiwasikilize

1767301179675.png
 
Mara ya mwisho kunywa alcohol (katika pombe) ilikuwa Champagne ya kukaribisha mwaka mpya January 1 2024.

So I have been alcohol free for two years now.
That's cool, I'm proud of yah

Maana saying no to a thing, ambayo uko nayo around is not for everyone.
 
Habari wadau.

Nashukuru Kwa wote mlio nijenga juu ya namna ya kuacha pombe nilipoomba USHAURI MWAKA 2022. Naelekea miaka 4 Sasa bila kunywa pombe Nilikuwa mlevi sanaaaaaaaaaaaaaaa wa pombe aina zote za dukani na kienyeji.

Nimelewa Toka 2010 mpaka 2022 nimeacha. Mali zimekwisha ila Mimi nipo hai na salama.

Nimeanza upyaaaaaaaa nikiwa na amani tele.

Asante Sana JamiiForums.
HONGERA...Mimi hadi viwanda vya pombe vifungwe vyote
 
Back
Top Bottom