Akhaa.... Babu umesahau kuwa mamangu yaani Mwanao alisusiwa mimba yangu na wewe ukaapa ndio utakuwa mlezi kamili? Hao wajomba wanatokea wapi tena?
Na wala hatonishindwa basi ujue.... si kwa dua hilo.
Hahahah....tupo banaHahhhahha! Chezea dotcom wewe? Wameacha nyonyo wamedakia keyboard ku type jf.....
Si MMU, siasa wala jf doctor kote wapo,......almuradi ukiwa free kusoma jf siku hizi unakuta mtu anaanzisha topic asb anauliza, anajijibu, kisha anajishangaa mwenyewe kwenye topic ya pili anayoanzisha mchana...
Wapi Teamo? Jamaa nae sijui kawa mchungaji siku hizi, kimyaaaaa.....
The Finest? ......hahhahh, ushaoa wewe ee?! Au ndio ule upako ushakukolea?
Respect bro.
Hahahah....tupo bana
Naongezea kuna arusha one. madame B. kin,gast.na nkNimewakumbuka tu huko mliko jamaa zangu wa miaka ile, Uwanja wa MMU umekuwa mpana sana, siku nazo zimekwenda alhamdulillah. Anyway ni salaam tu kwenu nyote; MwanajamiiOne, Dark City, nyumba kubwa, Nyamayao, The Boss, The Finest, bht, Gaga, Kaunga, Asprin, Maty, King'asti, na wengineo weeeeengi tangia miaka ile ya 2007.
Peace and love, maisha yanaendelea
.......e bana ee, upo?!
Asprin, MwanajamiiOne, BAK na wengineo bado mpo uwanja huu?!
It's 2017!!! Mbu's still alive Alhamdulillah,
Naogopa hata kuulizia wengine, maana dahh,......waweza ambiwa 'tulishamzika kitambo!'
Peace & love.
FaizaFoxy atabisha, wewe subiri tu (Veve kondaga du).
Nimefurahi kukuona Mkuu Mbu na pia kusikia kwamba you're still alive. Mungu ashukuriwe sana. MwanajamiiOne wewe baada ya kusepa naye akaamua kusepa ukumbi hauna utamu kwa MJ1 bila kukuona humu ukitupa hekima na busara zako.
Asprin nadhani atapita mtaa huu nafasi ikimruhusu.
Wengi bado wapo na wengine ama wameamua kuingia mitini kimoja au wamo humu wameamua kubadili ID.
Uwe unapita pita humu mara kwa mara kuja kutupa baraka zako maana ukikaa muda mrefu next time unaweza kukuta giza nene kutokana na mashetani kupafunga mahali hapa. Hawataki tuwajadili mambo yao.
mwalimu upo!? mzima lakn!?
jamani nipoooo
sijafwa badoooo........................miss you all guys.
jamani Mvaa Tai upo?
BAK Asprin, Mwanajamii one salamu zangu kwenu
Asante bro,
Hivi, mzee mzima Dark City yupo wapi siku hizi? Baada ya 'wakongwe' wengi kuingia mitini, nakumbuka naye ni miongoni mwa waliobakia kuendeleza busara zao humu, nazungumzia miaka miwili iliyopita!
jamani nipoooo
sijafwa badoooo........................miss you all guys.
jamani Mvaa Tai upo?
BAK Asprin, Mwanajamii one salamu zangu kwenu
jamani nipoooo
sijafwa badoooo........................miss you all guys.
jamani Mvaa Tai upo?
BAK Asprin, Mwanajamii one salamu zangu kwenu
Inna lillah wa inna ilayhi rajioun!....... DenaAmsi amefariki?!
Apumzike kwa amani.
Hapo Red... RIP Dena Amsi.......e bana ee, upo?!
Asprin, MwanajamiiOne, BAK na wengineo bado mpo uwanja huu?!
It's 2017!!! Mbu's still alive Alhamdulillah,
Naogopa hata kuulizia wengine, maana dahh,......waweza ambiwa 'tulishamzika kitambo!'
Peace & love.
Nimefurahi kukuona Mkuu Mbu na pia kusikia kwamba you're still alive. Mungu ashukuriwe sana. MwanajamiiOne wewe baada ya kusepa naye akaamua kusepa ukumbi hauna utamu kwa MJ1 bila kukuona humu ukitupa hekima na busara zako.
Asprin nadhani atapita mtaa huu nafasi ikimruhusu.
Wengi bado wapo na wengine ama wameamua kuingia mitini kimoja au wamo humu wameamua kubadili ID.
Uwe unapita pita humu mara kwa mara kuja kutupa baraka zako maana ukikaa muda mrefu next time unaweza kukuta giza nene kutokana na mashetani kupafunga mahali hapa. Hawataki tuwajadili mambo yao.
Hapo Red... RIP Dena Amsi
Mkuu Moskwito... ukiendelea kupotea hivi nakuadd kwenye ignore list yangu. Tafazali nirudishie mjukuu wangu MwanajamiiOne kama tabia yako ndio hiyo.
Nimepita mkuu, nimejisikia faraja sana kuwasoma malegends wa MMU.
Mi nipo sana, sema kuna Konda mmoja ananichefua sana... Tatizo bosi wake anampa kiburi basi imekuwa tabu tupu hapa mjini.