Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
so...if ur proud of me niwe mkweli kwa jamaa na kikiwaka utanipigia chepuo kwako au kwa mshikaji wako anioe?
hili haliwezi kua jibu la mtu anayetafuta ushauri
so...if ur proud of me niwe mkweli kwa jamaa na kikiwaka utanipigia chepuo kwako au kwa mshikaji wako anioe?
Akijidanganya tu kupeleka hiyo issue kwa pastor. Anavuliwa chupi.
Hallow wana jukwaa nawasalim
nimekuwa nikipokea private meseji nyingi sana zikiomba updates za kisa hiki...nawahaidi nitawapa muendelezo nilipofikia hivi karibuni.
nashukuru sana kwa huu ushauriMtoa mada bado unapokea ushauri?
Kwanza kabisa nikuulize...umeokoka au unasali kwa walokole? Lengo kuu la wewe kuokoka ilikuwa kwenda mbinguni au ulitaka tu ku-regain ur dignity na uishi maisha ya kawaida kama watu wengine ikiwa ni pamoja na kupata mumue? Huu ushauri wangu naokupa na-assume umeokoka ukiwa na lengo la kwenda mbinguni.
Kwanza kabisa mtu unapookoka ya kale yanakuwa yamepita...umekuwa kiumbe kipya sasa. Yeyote anayekuhukumu kwa historia yako msamehe bure then muombee...sioni sababu ya kuficha ukweli kwa huyo mchumba wako kwa sababu unaweza ukaficha akasikia kwa watu wengine na vilevile utalazimika kutunga stori kadhaa za maisha yako ili ku-cover hako ka segment ka kujiuza,jambo ambalo si afya kwa mahusiano hasa yale ya kudumu....nakuambia utaishi maisha ya mateso sana mi nakushauri ufunguke tu...huyo mchumba hata asipokuelewa akakuacha we songa mbele mume utamkuta mbele ya safari na hata usipompata songa mbele Yesu ni zaidi ya mume,ni zaidi ya mtoto na maisha haya tuliyonayo ni ya kitambo tu wewe tazamia yale ya milele
Mbona tatizo almost iko through kwa sababu unapompokea Yesu ya kale yamepita yamekuwa mapya swali kwako je umeokoka wewe na mchumba wako au ni wakristo was kawaida? Biblia inasema ukimjua Yesu na kumlibali kama kiongozi wa maisha yako atakuweka guru..
umepima virusi vya UMWIKI tayari?
mwambie
Nyapu si inabana tu?au imekua swimingpool
Ukisema inaweza kuwa mwisho wako na yeye, ukinyamaza hao "malaya" wakaja lipua inaweza kuwa mwisho. Pagumu hapa
nataman angekuwa na moyo kama wako.Okay dada'ake. Take care and we are eagerly waiting for update in that regard.
BTW... Huyo jamaa akikumwaga, njoo kwangu nikuoe na tufanye maisha. Your TRUTH has already made you free in my heart! I always don't consider the PAST, however I heed on the PRESENT and onwards. Teh teh
N.B: LIFE has a lot of options!
-Kaveli-
Mtoa mada bado unapokea ushauri?
Kwanza kabisa nikuulize...umeokoka au unasali kwa walokole? Lengo kuu la wewe kuokoka ilikuwa kwenda mbinguni au ulitaka tu ku-regain ur dignity na uishi maisha ya kawaida kama watu wengine ikiwa ni pamoja na kupata mumue? Huu ushauri wangu naokupa na-assume umeokoka ukiwa na lengo la kwenda mbinguni.
Kwanza kabisa mtu unapookoka ya kale yanakuwa yamepita...umekuwa kiumbe kipya sasa. Yeyote anayekuhukumu kwa historia yako msamehe bure then muombee...sioni sababu ya kuficha ukweli kwa huyo mchumba wako kwa sababu unaweza ukaficha akasikia kwa watu wengine na vilevile utalazimika kutunga stori kadhaa za maisha yako ili ku-cover hako ka segment ka kujiuza,jambo ambalo si afya kwa mahusiano hasa yale ya kudumu....nakuambia utaishi maisha ya mateso sana mi nakushauri ufunguke tu...huyo mchumba hata asipokuelewa akakuacha we songa mbele mume utamkuta mbele ya safari na hata usipompata songa mbele Yesu ni zaidi ya mume,ni zaidi ya mtoto na maisha haya tuliyonayo ni ya kitambo tu wewe tazamia yale ya milele
Mtoa mada bado unapokea ushauri?
Kwanza kabisa nikuulize...umeokoka au unasali kwa walokole? Lengo kuu la wewe kuokoka ilikuwa kwenda mbinguni au ulitaka tu ku-regain ur dignity na uishi maisha ya kawaida kama watu wengine ikiwa ni pamoja na kupata mumue? Huu ushauri wangu naokupa na-assume umeokoka ukiwa na lengo la kwenda mbinguni.
Kwanza kabisa mtu unapookoka ya kale yanakuwa yamepita...umekuwa kiumbe kipya sasa. Yeyote anayekuhukumu kwa historia yako msamehe bure then muombee...sioni sababu ya kuficha ukweli kwa huyo mchumba wako kwa sababu unaweza ukaficha akasikia kwa watu wengine na vilevile utalazimika kutunga stori kadhaa za maisha yako ili ku-cover hako ka segment ka kujiuza,jambo ambalo si afya kwa mahusiano hasa yale ya kudumu....nakuambia utaishi maisha ya mateso sana mi nakushauri ufunguke tu...huyo mchumba hata asipokuelewa akakuacha we songa mbele mume utamkuta mbele ya safari na hata usipompata songa mbele Yesu ni zaidi ya mume,ni zaidi ya mtoto na maisha haya tuliyonayo ni ya kitambo tu wewe tazamia yale ya milele