Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

ongera kwa kuomba ushauri.
Vunja ukimya na uzidi kujisogeza mbele za Mungu.
God will be apn u.
 
Wabongo kuuchukulia ukweli mchungu in a positive way bado sana
 
rejea topic hii

Nenda kanisani kaungame dhambi zako.

ongea na watumishi wa kanisani kwako(watumishi wa mungu kama padri watakupa ushauri mzuri kama umwambie BF wako au la!!!

pia for ur own decision kama utaweza mwambie tu potelea mbali kama akikubaliana na ukweri sawa akikataa basi sio ridhiki yako mungu atakupa mwingine

NB kwani changudoa aolewi jamani kwan naye ni mwanamke

NB ukimwambia akikuacha
ukipata mwingine usidhubutu kumwambia kuwa ulikuaje b4

NB Cha msingi damu iwe safi

NB tunaitaji mrejesho pliiz
 
Hongera sana Marytina kwa upambanaji sio dhamiri yako ila ilitokea tu
 
Last edited by a moderator:
Marytina mwambie ukweli tu na uwe tayari kwa jibu lolote.

Mimi nakumbuka miaka ya nyuma kuna dada alikua changudoa hapo hapo Arusha na kijiwe chake kilikuwa hapo hotelini. Huyu dada alipendwa na meneja wa hoteli na akamvuta ndani. Baada ya kuvutwa ndani na meneja bindi alihama viti tu na kona pale hoteli, akawa anakuja hapo hotelini lakini anakaa mbali na machangudoa. Tena wakati mwingine alikuwa anabana kona na meneja wa hoteli wanapiga kinywaji.

Hivyo usiogope, kuna watu akikupenda hajali kama ulikuwa uchangudoa au kitu kingine chochote.
 
Last edited by a moderator:
Marytina uliwahi kufahamu kuwa msiri wako mkuu ni Mungu pekee? Km uliacha hiyo dhambi na kumfuata Yesu, ukatubu, ukafunga na kusali, nakujiona/kujishuhudia nafsi yako kuwa umesafishwa/ umetakasika, hiyo kazi nyingine mwachie Mungu.

Hukuwa hata na haja ya kuwakimbia hao wadada wakenya, maana naamini pia wanakuja kusali na kuomba neema ya kuyatimiza yaliyo mapenz ya bwana.
Sasa litakuwa jambo la ajabu kuwa wakikuona wakuchulie mambo ya zamani ambayo hata wao hawapendi waeleweke hivo.

BTW km ni case ya 'guilty feeling' kwamba usipomwambia mtu wako utakuwa hujatua mzigo, hiyo inaweza tu kuwa hivyo km hujalikabidhi jambo hilo mikononi mwa Mungu (just like I said) hivyo fanya Maombi funga na kusali ktk hali ya upweke kwa muda usiopungua siku tatu au zaidi halaf baada ya hapo mwenyewe utaona jinsi utakavokuwa mwepesi.

Wasiwasi wa kwamba iwapo jamaa atazipata taarifa hizo ufanyeje si swala la kufikiri kwa sasa kwa kuwa linaondoa rehema itakayotokana na maombi maalum utakayoyafanya.

Tunaishi kadri Mungu anavyotaka tuishi, si kadri tutakavyo.
Fanya hivyo dada yangu na kisha uweke Moyoni mwako kuwa umetimiza wajibu wako kwa Mungu, yaliyobaki si kazi yako.
 
Last edited by a moderator:
Changudoa home Arusha, baba Mngoni, mama Mchagga

Ilikuwa hivi; baba na mjomba waliwekwa Korokoroni kwa kesi ya ujambazi tukiishi na kusoma Arusha. Mimi na wadogo zangu wawili kuna siku ghafla kama saa nne mama akaja shuleni (day skuli) akatuchukua (wawili, mdogo alikuwa hasomi) bila kupitia nyumbani tukaelekea Tanga tukakaa hotelini for two weeks then tukaelekea Kenya Nakuru ambapo mama alinunua nyumba na gari tukaanza maisha bila ya baba na mjomba.

Wote watatu tukapelekwa boarding skuli Nairobi-Kenya, mama akarejea Nakuru. Miaka minne baadae mama akakamatwa akarejeshwa Arusha kuunganishwa kwenye kesi. Mimi ndiye nlikuwa mtoto wa kwanza na wote hatukuwa tumejua kama mama kakamatwa mpaka tuliporudi nyumbani likizo.

Majirani walitushangaa na kuanza kutuuliza alipo mama. Kwa msaada tukavunja mlango, gari ilikuwepo, kuna chumba ilikuwa inafungiwa. Niliwaambia wadogo zangu mama kaenda kumsalimu mjomba atarejea. Nikaanza misele Nakuru mjini na kiboyfriend changu. Siku moja akaja mama fulani nilipokuwa nimepaki kigari mjini akajitambulisha ni Mtanzania mmarangu na aliongea kichagga nikazuga simsikii.

Akaniambia amenitambua kwa kuwa anaifahamu gari ya mama na anajua mama na nimefanana na mama. Akanieleza kuhusu mjomba, baba na akaniambia mama alikuwa gerezani Arusha kwa kesi. Akanitaka niiuze gari na nyumba fasta kabla havijakamatwa.

Akaniambia nisiwe narudi rudi kukaa muda mrefu pale nyumbani mpaka atakapoachiwa mama. Nilikuwa form three-Nairobi, four days baadae niliuza gari, nyumba ikagoma kwa kuwa collateral ya mkopo alichukua mama benki. Nikawaamuru Madogo tuondoke tuwahi kurudi shuleni mama anatusubiri Nairobi.

With time hata mwaka haukuisha hela ikakata nikashawishiwa na a classmate Elizabeth-Mkenya mkamba wa Nairobi. Tukaanza kujiuza likizo and life ikasonga na nikawa nawalipia wadogo na mimi ada. Nilijiuza mpaka nikasoma chuo na wadogo wakaingia sekondari.

Thanks God mama aliachiwa baada ya miaka mitatu. Kuna wakati tuligombana sana na wadogo zangu wakiamini mama amenipa access ya akaunti zake za benki na natumia hela nyingi kivyangu huku nikiwapa wao kidogo.

Tatizo: Kwa sasa tupo Arusha. nina boyfriend mmasai na kila wakati wa semina kanisani mchungaji husema ni bora wapenzi wachumba muwekane wazi kuhusu maisha yenu hata ya nyuma ili isiwagharimu baadae. Naogopa sana kumwambia jamaa kuwa niliwahi kuwa changudoa.

NOTE: Kuna wadada wa Kenya ambao nilijiuza nao wamehamia Arusha na hawana kazi za maana.

Nlilazimika kuhama kanisa ambalo mimi nlikuwa kiongozi wa vijana baada ya baadhi yao kuanza kusali pale kanisani uamuzi ambao BF na mchungaji wanaushangaa mpaka leo. Kwa sasa nasali kikanisa kidogo nje ya mji kwa kuwaogopa washirika uchangudoa wenzangu wa Nairobi... Nateseka sana kuwaza.

Ufafanuzi: Natumiwa PM nyingi zikitaka ufafanuzi. Hii stori ni 5% ya maisha yangu na inaeleza namna nilivyoanza na kuacha uchangudoa tu. Stori haielezi maisha ya mama wala mjomba, namna walivyokamatwa na nini hasa walichokuwa wakifanya, namna mama alivyotoroka na baadae kukamatwa. Haielezi namna tulivyosafiri toka ARUSHA-TANGA-NAKURU KENYA.

Mrytina ulikua unatumia ac hii facebook niliwahi kukufanya piaa hongera umeokoka usimwambie
 
Changudoa home Arusha, baba Mngoni, mama Mchagga

Ilikuwa hivi; baba na mjomba waliwekwa Korokoroni kwa kesi ya ujambazi tukiishi na kusoma Arusha. Mimi na wadogo zangu wawili kuna siku ghafla kama saa nne mama akaja shuleni (day skuli) akatuchukua (wawili, mdogo alikuwa hasomi) bila kupitia nyumbani tukaelekea Tanga tukakaa hotelini for two weeks then tukaelekea Kenya Nakuru ambapo mama alinunua nyumba na gari tukaanza maisha bila ya baba na mjomba.

Wote watatu tukapelekwa boarding skuli Nairobi-Kenya, mama akarejea Nakuru. Miaka minne baadae mama akakamatwa akarejeshwa Arusha kuunganishwa kwenye kesi. Mimi ndiye nlikuwa mtoto wa kwanza na wote hatukuwa tumejua kama mama kakamatwa mpaka tuliporudi nyumbani likizo.

Majirani walitushangaa na kuanza kutuuliza alipo mama. Kwa msaada tukavunja mlango, gari ilikuwepo, kuna chumba ilikuwa inafungiwa. Niliwaambia wadogo zangu mama kaenda kumsalimu mjomba atarejea. Nikaanza misele Nakuru mjini na kiboyfriend changu. Siku moja akaja mama fulani nilipokuwa nimepaki kigari mjini akajitambulisha ni Mtanzania mmarangu na aliongea kichagga nikazuga simsikii.

Akaniambia amenitambua kwa kuwa anaifahamu gari ya mama na anajua mama na nimefanana na mama. Akanieleza kuhusu mjomba, baba na akaniambia mama alikuwa gerezani Arusha kwa kesi. Akanitaka niiuze gari na nyumba fasta kabla havijakamatwa.

Akaniambia nisiwe narudi rudi kukaa muda mrefu pale nyumbani mpaka atakapoachiwa mama. Nilikuwa form three-Nairobi, four days baadae niliuza gari, nyumba ikagoma kwa kuwa collateral ya mkopo alichukua mama benki. Nikawaamuru Madogo tuondoke tuwahi kurudi shuleni mama anatusubiri Nairobi.

With time hata mwaka haukuisha hela ikakata nikashawishiwa na a classmate Elizabeth-Mkenya mkamba wa Nairobi. Tukaanza kujiuza likizo and life ikasonga na nikawa nawalipia wadogo na mimi ada. Nilijiuza mpaka nikasoma chuo na wadogo wakaingia sekondari.

Thanks God mama aliachiwa baada ya miaka mitatu. Kuna wakati tuligombana sana na wadogo zangu wakiamini mama amenipa access ya akaunti zake za benki na natumia hela nyingi kivyangu huku nikiwapa wao kidogo.

Tatizo: Kwa sasa tupo Arusha. nina boyfriend mmasai na kila wakati wa semina kanisani mchungaji husema ni bora wapenzi wachumba muwekane wazi kuhusu maisha yenu hata ya nyuma ili isiwagharimu baadae. Naogopa sana kumwambia jamaa kuwa niliwahi kuwa changudoa.

NOTE: Kuna wadada wa Kenya ambao nilijiuza nao wamehamia Arusha na hawana kazi za maana.

Nlilazimika kuhama kanisa ambalo mimi nlikuwa kiongozi wa vijana baada ya baadhi yao kuanza kusali pale kanisani uamuzi ambao BF na mchungaji wanaushangaa mpaka leo. Kwa sasa nasali kikanisa kidogo nje ya mji kwa kuwaogopa washirika uchangudoa wenzangu wa Nairobi... Nateseka sana kuwaza.

Ufafanuzi: Natumiwa PM nyingi zikitaka ufafanuzi. Hii stori ni 5% ya maisha yangu na inaeleza namna nilivyoanza na kuacha uchangudoa tu. Stori haielezi maisha ya mama wala mjomba, namna walivyokamatwa na nini hasa walichokuwa wakifanya, namna mama alivyotoroka na baadae kukamatwa. Haielezi namna tulivyosafiri toka ARUSHA-TANGA-NAKURU KENYA.
read between the lines am proud of what you did as a sisiter to your siblings. and looks like what you want is only marriage you dnt care the consequences anyway utajisikiaje pale ushaolewa halaf anakuja kujua kuhusu hyo tabia yako na akakuacha cz ya hilo swala? ipi ni aibu kubwa kwako?
anyway mi kwangu ukija ntakutreat kama ambavyo walikutreat[/QUO
 
Siri ni ako , shida zako zipeleke kwa mungu wala usimueleze binadam.
 
The way i see it u have to tell th truth, carefully edited truth.
 
Ukisema ukweli tu umeula wa chuyaaa,maana hata yeye kuna aliyoyafanya lakim hatakuambiaa kila mtu siri yakee we baki na yako watanzania kwenye ukweli bado hatujajifunza
Siku zote ukeli humweka mtu huru, kama wewe si mkweli wengine ni wakweli
 
tatizo nimekuwa mtu wa dini na sipendi kuendelea kuwa muongo kama mama alivyonidanganya
pia kuna waschana wawili wakenya wanaishi hapa ARUSHA na tulifahamiana KENYA kwenye hotel
Wewe UCHUNE tuuuuu,hakuna cha kuweka wazi wala nini,huyo jamaa ukimwambia ukweli utakua umempa SILAHA,itakua kila ukikosea au kumuudhi utapata vibao na kuitwa MALAYA CHANGU DOA,kwa hiyo jikalie kimya tuu ila usije UKAMSALITI tu sababu waswahili wanasema MWENYE LAKE JAMBO HAACHI,sasa nakusihi fungia kufuli kitumbua chako.
 
Aza kujiweka huru kwa familia. Kisha mwambie mchumba wako. Itakuwa mbaya kama atafahamu maisha yako ya nyuma kupitia kwa watu wengine. Watakaompa hizo taarifa watajazia na mengine ambayo siyo ya kweli.
Kama kweli anakupena atakuelewa na atajua wewe ni mtu ukweli Vinginevyo atakuona ni muongo na hatakuamini hata kama mtukauwa mumeoana. Na ndoa hiyo haitadumu.
 
my dear kua muazi kwake kama ulipangiwa awe ndo mumeo atakua bila mashaka hakuna kitu kizuri kama kua mkweli wa nafsi kamwe haikusuti kua makini usijejuta baadae

Hoja zako 2 sawa kabisa na zina ukweli na busara, aseme ukweli, maana sasa hana amani, ndoa nayo itakosa amani, hao wanaokujuwa labda wanaweza kukufanya kipato kwa kutishia kutoboa siri, come clean, if hes yours you will know, if not, you will get another another one, trust me..
 
Haina alama tena mwambie alambe na chumvin kabisa!
Alaf Kama n I kujiuza hiyo inajulikana kwa watoto wengi chuo Ni kawaida!!
 
Back
Top Bottom