mnaniweka njia panda sana............jaman itakuwa aibu sana hata washirika kanisani wataona kama nimelidhalilisha kanisa ukweli ukijulikana
ila pia dini zetu hazitaki uongo na kuna uongo unatesa sana maisha yoote
hapa naogopaga hata kwenda kwenye baadhi ya sherehe maana kuna wadada wakenya hapa ARUSHA wanaweza kuniharibia
Hadithi za Shigongowewe mdiye wa ajabu
miaka mitatu YES
FORM FOUR MMOJA then chuo miwili au wewe kwako chuo lazma Universuty na lazma mtu asome ADVANCE LEVEL????
yes ni miaka mitatuna tena mama alinikuta sjamaliza
Kenya ipo mpaka la 8 (STD VIII) haya ukaingia Sekondary miaka 4 na ukajiunga na Chuo cha Cherehani au mapishi ?Wote watatu tukapelekwa boarding skuli Nairobi-Kenya, mama akarejea nakuru miaka minne baadae mama
Ukimwambia utaachwa nakuambia. Hivi nyie hamjui kuwa wanaume wana ego eeh! Don't tell him, unless uwe unataka kuachwa.
Sasa mbona tumekushauri unajitia oooh mtu wa diniii mtu wa dini utakuwa weeeeweeeeeee (in masanja's voice
kosa langu ni kubwa sana halivumiliki yaan ni bora ningekuwa na makosa mengiene yote hata kuua angeweza kunielewa lakini si kulala na miwanaume kibao kwa pesaSikia sister, ,maisha ni mafupi sana kuhishi kwa hofu na kukimbia kukwepa watu, taarifa kama hiyo kwa mara ya kwanza huwa inaleta shock sana kwa wanaume, bt time inavyoenda ukijumuisha na upendo kama upo mambo yata tulia tu.
Wew ndo wamjua vema mwenza wako tafuta njia sahihi ya kumwambia, ila usije mshirikisha yeyote wakati unamweleza haya muwe walili tena home.
Kheri asikie kutoka kwako kuliko kusikia kutoka kwa watu wengine,utakuwa huru sana ukifunguka kwake na kumwambia ukweli usifiche uhalisia wako utakuwa unajidanganya ww na kumdanganya huyo mwenza wako.Kama anakupenda atakupenda pamoja na kasoro zako.Tegemea vilevile kasoro yako hio inaweza kutumiwa kama fimbo ya kukuchapia mkikwaruzana..All in all natumai jamaa atakuwa muelewa.Kila la kheri
acheni uoga wa kunguru, kama ndoa ipo hakuna kizuizi, its only truth will set gateway of happier marriage.
i missed u alot bwBinadamu haeleweke unaweza kumwambia basi ikatokea lolote kwenye maisha yenu akachukulia tukio ulilomweleza lina apply sasa. Kabla ya kumweleza je ni mtu wa gubu na anachukuliaje vitu pale anapogundua au kujua kitu kidogo