- Thread starter
- #201
mtu anapata ugumu gani kunielewaHhhhaaa maaan inaonyesha alikua analipwa vizuri mnoo hapo atuelewesheeee ndio maana nasema mengine anyamaze maana akisema maswali yatazidi
mama alikaa miaka mitatu gerezani
fanya hii hesabu:mama kakamatwa nkiwa form three naingia four mwaka 1
baada ya four nkasoma chuo huko huko nairobi miaka miwili n tena mama anatoka gerezani bado sjamaliza chuo
Tatizo mkosoaji amekariri kwamba lazma usome advanced level na University...kwakeCHUO LAZMA IWE NI UNIVERSITY na lazma usome A-LEVEL....dats why tunasema elimu ya TANZANIA inaukakasi