Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Kama kweli unampenda mwambie achague mmoja kati yenu watatu hiyo ni hatari mtakuja kuuwana bure kwa kuchomana visu
yes,hiyo mkuu umeongea point sana. na hata jana nlikuwa naye kwake na leo anatarajia kuhamia makao mapya ambako tumeshare gharama za kodi..
yeye pia alishauri tutengane,nikamjibu ni poa tu endapo hataona mapungufu,ila tangu nimjibu hivyo amekuwa kimya ni kama vile naye anatingisha kibiriti. unajua mapenzi ukishayaanza kuyatoa ngumu kama yalikuingia ndani kabisa,na ndiyo msemo ule wa mahawala hawaachani
 
Uzuri hujaomba ushauri ila umetoa mkasa wako mpaka na uamzi uliochukua,kila lakheri brother maisha haya mengi tunapitia katika mahusiano,utazoea na maisha yataendelea.
 
Pole ndugu...Usiogope Mungu anakupenda na ndio maana amekufunulia hayo yote .Na ninaamini atakukutanisha na msaidizi wako pekee
 
Polee sana mkuu ila mungu ni muaminifu atakupa mnayeendana.
 
Back
Top Bottom