for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,397
- 4,440
Bro hujamuuliza mwili wake unaweza kuhimili ngumi za kifua kuna kimwili kingine anaweza kupiga ngumi ya kifua ikatomea kwenye moyo akatenda dhambi ya kujiua
Bro hujamuuliza mwili wake unaweza kuhimili ngumi za kifua kuna kimwili kingine anaweza kupiga ngumi ya kifua ikatomea kwenye moyo akatenda dhambi ya kujiua
Me nadhani USINGEFIKIRIA KUMPENDA na hasa USINGEFIKIRIA NDOA haya YASINGEKUKUTA.Habari wakuu
Nimetoka kuachana na mchumba wangu niliempenda sana hivi punde na nilitaraji angekua mke bora mbeleni
Inauma sana ila siwezi endelea na mwanamke mwenye hulka ya umalaya hata kama ana mazuri mengine mangapi.
Nitieni moyo napitia wakati mgumu
kwani nilimzoea sana na hata leo kaja na zawadi nyingi kwangu ila nimechagua kesho bora.
Kanisaliti leo hii hii mchana,hakujua kama mtu alokua nae kimahusiano ni rafiki angu wa karibu .
Nashukuru akili ZIMEMKAA.Kwahiyo sasa hivi upo single?
Jino kwa jino , nzuri hiiMahusiano bwana yana mengi... kuna siku nimekaa sehemu akatokea jamaa mmoja akamuita demu wake. Demu amefika anaongea na simu mbele ya jamaa kama dk 5 hivi hamalizi maongezi, jamaa akaona isiwe kesi akatoa simu yake akampigia dem mwingine waonane palepale... aisee dem wa kuongea na simu aliwaka balaa bila kujua malipo ni hapahapa duniani
Si ndio katoa au utoaji kwako tu?Yani awe mwanamke mwenye moyo wa utoaji na kutojifikiria yeye zaidi
Basi wewe pia unamakosa hawa wanauzaifu mkubwa Kwa wanaume,baada ya kugundua hilo ulitakiwa umkemee huenda angejifunza kituHuyu rafiki angu hakua anamjua ila aliponishirikisha nikamwambia huyu ni girl wangu ila endelea tu utakua unanijulisha mtapofikia na kweli leo amemla mchana
Labda alitaka kumaanisha UCHOYO. Maana ukioa mwanamke mchoyo tegemea migogoro mingi kutoka kwa ndugu zako wanapokutembelea.Bina damu wote ni wabinafsi na wanawake wengi ni zaidi yetu wanaume.
Hulka ya umalaya sawa ila kwenye ubinafsi mkuu.
Au ubinafsi kwenye nyanja ipi labda??
Kanisaliti leo hii hii mchana,hakujua kama mtu alokua nae kimahusiano ni rafiki angu wa karibu .Habari wakuu
Nimetoka kuachana na mchumba wangu niliempenda sana hivi punde na nilitaraji angekua mke bora mbeleni
Inauma sana ila siwezi endelea na mwanamke mwenye hulka ya umalaya hata kama ana mazuri mengine mangapi.
Nitieni moyo napitia wakati mgumu
kwani nilimzoea sana na hata leo kaja na zawadi nyingi kwangu ila nimechagua kesho bora.
Kanisaliti leo hii hii mchana,hakujua kama mtu alokua nae kimahusiano ni rafiki angu wa karibu .







Ready to mingle?Ndio Hannah