Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,400
- 29,341
Nashanga kama bado kuna watu wanateseka na mapenz
Ukiona mapenzi hayakutesi tena ujue ushakuwa malaya.
Nashanga kama bado kuna watu wanateseka na mapenz
Kwa hivyo huna kinyongo na chalii yako? Umemruhusu mwenyewe aendelee.Huyu rafiki angu hakua anamjua ila aliponishirikisha nikamwambia huyu ni girl wangu ila endelea tu utakua unanijulisha mtapofikia na kweli leo amemla mchana
Hapana sio weak,ni vile tu sikutaraji pamoja na passion yote alonionesha angeuza mechi kirahisi vile.Mbona umekua weak sana kwa uyo malaya?
Kweli nimeamini kuna Alpha male na beta male
Kweli ningeweza kumkemea ila kwa sasa natafuta mtu mwenye hulka ya msimamo thabiti bila hata kuchungwaBasi wewe pia unamakosa hawa wanauzaifu mkubwa Kwa wanaume,baada ya kugundua hilo ulitakiwa umkemee huenda angejifunza kitu
Mkuu nimefafanua hapo juuKanisaliti leo hii hii mchana,hakujua kama mtu alokua nae kimahusiano ni rafiki angu wa karibu .![]()
Shukrani miss,ndo mambo ya muduniaKwahiyo jimbo lipo wazi sasa? Nikija napita bila kupingwa? Pole lkn yatapita na utamsahau , pia umechagua lililojema asije akakuletea magonjwa bure
Yeah! ready for the nxt journey.Ready to mingle?
Kwa hasira imebidi jana nikumbushie usiku na ilinoga hasakaribu Chaputa sasa
Huyu rafiki angu hakua anamjua ila aliponishirikisha nikamwambia huyu ni girl wangu ila endelea tu utakua unanijulisha mtapofikia na kweli leo amemla mchana
Ndiyo maana umeachwa😂😂Kwa hasira imebidi jana nikumbushie usiku na ilinoga hasa
Yani kaja na vitu tu as a giftUhusiano umevunja wewe, kuteseka unateseka wewe…. hizo zawadi alikuletea kivipi?
Yeah! katika chats zao nliona huyu girl ndo katawala sana mazungumzo na kutaka kwenda kwa jamaa so nkamruhusu kwa amani kabisa ye amalize tu.Kwa hivyo huna kinyongo na chalii yako?
Umemruhusu mwenyewe aendelee.
Amna acha aende tu wala sina cha kujutaKumbe we ndo taahira, umemkuwadia demu wako ili kumjaribu…. sasa imetick pambana na matokeo ya upuuzi wako.
Yani kaja na vitu tu as a gift
Yani mpenzi wako amepigwa mti mchana kweupe!!!?Habari wakuu
Nimetoka kuachana na mchumba wangu niliyempenda sana hivi punde na nilitaraji angekua mke bora mbeleni
Inauma sana ila siwezi endelea na mwanamke mwenye hulka ya umalaya hata kama ana mazuri mengine mangapi.
Nitieni moyo napitia wakati mgumu kwani nilimzoea sana na hata leo kaja na zawadi nyingi kwangu ila nimechagua kesho bora.
Kanisaliti leo hii hii mchana, hakujua kama mtu alokua naye kimahusiano ni rafiki angu wa karibu
Hatari sana nduguYani mpenzi wako amepigwa mti mchana kweupe!!!?
I feel u ma nigga
Kacheat na mtu wa karibu sana tena kiwepesi mnoHuwa sielewi ivi kama tungeenda kwamwendo huu kungekuwa nafamilia kweli kwann mnakuza sana haya mambo hao malaika mtawapata wap zungumza nae akionyesha kujutia mpe nafasi