Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
- Thread starter
- #21
Ndio HannahKwahiyo sasa hivi upo single?
Ndio HannahKwahiyo sasa hivi upo single?
Marehemu mama aliniachia husia mmoja kwamba ntapotaka kuoa nihakikishe naoa mwanamke mwenye mapungufu yeyote yale isipokua mawili tuAsiee pole sana. Nitaacha kua na manzi zaidi ya mmoja nikioa ila hapa kabla kua na akiba ni muhimu, wanatongozwa na wengi hawa kukucheat ni ishu ya dakika tu .
Dah! haya maisha siwezi kabisa me ni mtu selective sanaMahusiano bwana yana mengi... kuna siku nimekaa sehemu akatokea jamaa mmoja akamuita demu wake. Demu amefika anaongea na simu mbele ya jamaa kama dk 5 hivi hamalizi maongezi, jamaa akaona isiwe kesi akatoa simu yake akampigia dem mwingine waonane palepale... aisee dem wa kuongea na simu aliwaka balaa bila kujua malipo ni hapahapa duniani
Why unafanya maamuzi ya hasira kama vile dunia inaisha kesho?..
Ungeweza kabisa kumwambia ukweli na kumuacha ateseke na guilty ..
Ukamuacha akuombe msamaha huku unavuta
Pumzi ...unajipa nafasi ya kutakafakari..
Na ikiwezekana unamwambia umemsamehe
Unapisha upepo na kumuacha taratibu ..
Hadi siku ya siku unamwambia huku moyo umeshakubali...
Haraka haraka mwisho unajiumiza mwenyewe..
Dunia ipo Tu...usikurupuke
Hii naona ni kama kupotezeana muda na unafki juu, heri umuache tu aende zake akaendelee na mambo yakeNimekusamehe halafu unamwacha taratibu haha...hii ndio kanuni yangu.
Mtu anaachwa akijua amesamehewa yameisha.
Bina damu wote ni wabinafsi na wanawake wengi ni zaidi yetu wanaume.Marehemu mama aliniachia husia mmoja kwamba ntapotaka kuoa nihakikishe naoa mwanamke mwenye mapungufu yeyote yale isipokua mawili tu
1-Hulka ya umalaya
2-Ubinafsi
Mpaka sasa huwezi amini sijakutana na mwenye sifa zote mbili kwa pamoja
Huyu rafiki nlipompa go ahead kweli aliendelea nae huku ananionesha chats zotePole Sana mkuu kwani umewafuma wakifanya yao au umeongozwa na hisia za wivu mkali
Yani awe mwanamke mwenye moyo wa utoaji na kutojifikiria yeye zaidiBina damu wote ni wabinafsi na wanawake wengi ni zaidi yetu wanaume.
Hulka ya umalaya sawa ila kwenye ubinafsi mkuu.
Au ubinafsi kwenye nyanja ipi labda??
Kwa lipi mkuuSingasinga
Me nakukubali sana unajua?
Kutoa ni kazi yako mwanaume yeye ni mpokeaji. Huko kujifikiria yeye labda uanze wewe. Kwa maana hiyo unataka uujue mshahara wa mkeo( kama ni mfanyakazi) .Yani awe mwanamke mwenye moyo wa utoaji na kutojifikiria yeye zaidi
Labda hujawahi kutana na mwanamke mbinafsi ila kuna watu wananielewaKutoa ni kazi yako mwanaume yeye ni mpokeaji. Huko kujifikiria yeye labda uanze wewe. Kwa maana hiyo unataka uujue mshahara wa mkeo( kama ni mfanyakazi) .