Move on with your life achana nae siku akikumbuka ana mtoto atakutafuta hapo ndio mtaelewana vizuri. Mi huwa nawashangaa Sana wanaume wenzangu mtoto unamkataa kwani ye amekosea wapi? Sawa inawezekana mwanamke hatuelewani lakini si kwa mtoto. Tubadilike.
Ajataja miaka yamwanae kasemamtoto mmojaw unajuaje niwako....kwenyehilobado atukopamoja ingawa nashauri uje kawe kwagwajima tumrudishe mumeo uenjoynae kamabadounampenda usihofu anasemanini tunaitajikujua unaitajji ninii tumwite Mungu afanye
Halafu mtu mmeshaachana.......unamfuatilia wa nini........?......hakuna watu wengine.........Dr ki ukweli mimi watu wengine huwa wananishangaza sana............hujazaliwa nae unamganda wa nini.........tupa kule.......YOLO...........
Salyo
penzi pepo kifo mahakama
Kukosea wakati wakwenda kurudi unarudi mwenyewe soma radar ya chenge utoke ok??
Halafu mtu mmeshaachana.......unamfuatilia wa nini........?......hakuna watu wengine.........Dr ki ukweli mimi watu wengine huwa wananishangaza sana............hujazaliwa nae unamganda wa nini.........tupa kule.......YOLO...........
asimfuatilie mzazi mwenzake? atamwambia nini mwanae atapouliza babaye? bt me namshauri kama amechat naye wamekubaliana aombe kukutana naye aone atafanyaje wakikutana, huenda naye amemsahau Na akaomba kumate tens. hapo ndo ampe vidonge vyake