Nimeumia sana

Pole lakini acha ujinga.

Mtoto ana miezi miwili badala ya kuweka nguvu na muda wako kumjali yeye unamfuatilia mtu aliyekuacha facebook ili iweje??!GROW UP and MOVE ON, acha kujitafutia magonjwa ya moyo. I mean ni wazi wewe ndo uliyeachwa na uchungu na unatamani huyo jamaa ajirudie lakini usijishushe thamani kiasi hicho. Na ujue kabisa kwamba alikutreat vibaya kwasababu ulimuonyesha kwamba wewe sio chochote bila yeye.

Hamishia akili na mahaba yako kwa mtoto. Huyo ndio anaekupenda kweli sasa hivi na una maana sana kwake. Mpende na atakupenda pia.
 
Inaonekana huna shughuli ya kufanya wewe...

Ni nini lilikua lengo la wewe kujitongozesha huko facebook?

Huwa tunaishi mara moja tu, kukosea sio kipimo cha kushindwa bali ni dalili kuwa angalau kuna kitu umejaribu...

Tunza mtoto huyo acha kuhangaika na watu wasiojua thamani ya maisha yako...

Well said......
 
Inaonekana huna shughuli ya kufanya wewe...

Ni nini lilikua lengo la wewe kujitongozesha huko facebook?

Huwa tunaishi mara moja tu, kukosea sio kipimo cha kushindwa bali ni dalili kuwa angalau kuna kitu umejaribu...

Tunza mtoto huyo acha kuhangaika na watu wasiojua thamani ya maisha yako...

huwa sijutii ninachofanya au nilichofanya kutokana na msemo huu
 
Msiwe mnatoa papuchi kwa minajili ya kuolewa.Kwani papuchi ni zawadi ili uolewe?
Ukitaka kuolewa komaa usitoe papuchi hata kama ilishatumika
 
pole sana dada jitahidi umlee mwanao huyo mwanaume ipo siku atarudi kumtaka mtoto muombe sana Mungu akupe moyo wa ujasiri na nina imani utayashinda
 
Mama pita,samahani kama ntakuwa nimekuchanganya,sio wewe uliyewekaga thread Kuwa unatafuta baba mlezi atakayekuwa tayari umpe mtoto akishazaliwa,na wakati huo ulikuwa na ujauzito wa miezi 8?na tukakushauri cha kufanya,sio we we kweli? Mi sio mfukunyuaji mzuri wa thread zilizopita ila kumbukumbu zangu zinaniambia kama ni we we!kama nimejichanganya utanisamehe!
 
Hivi inakuaje tunamshirikisha MUNGU(Mf kwa kumfanya shahidi) katika mambo au utaratibu ambao hakuuridhia???
Tunastahili huruma zake kweli!???
 
Sperm donors wanashika kasi!!!!
pole mteme, fanya yako umlee mwanao unamfatafata wa kazi gani mtu mwenyewe hana msaada kama shida ni rungu mbona yapo mengi...
 
Hizi sapraizi za kutupima hizi matokeo yake ndio hayo. Asingeweza kuwa mjinga na ku-expose maisha yake. Pengine alijua ni nani anawasiliana nae. Pole sana mpwa

Cha kuongezea hapo ni kwamba yeye awali hakujua kwamba anachat na mzazi mwenza na ofcoz alikuwa interested na anayechat nae ingekuwa ngumu kwa yeye kusema ukweli wake wote na haraka hvyo kwamba ana watoto wawili na mama tofauti mwanamke angeweza kumwekea dought
 
Halafu mtu mmeshaachana.......unamfuatilia wa nini........?......hakuna watu wengine.........Dr ki ukweli mimi watu wengine huwa wananishangaza sana............hujazaliwa nae unamganda wa nini.........tupa kule.......YOLO...........

Inawezekana kajaribu kashndwa hasa ukizingatia ndo kwanza miezi miwili toka ajifungue,by the way time,pain and tears will heal her ajipe muda tu, nothing hurt forever
 
roho imeniuma sana
nimezaa na aliyekua mchumba wangu, kutokana na matatizo ya hapa na pale hatukubahatika kufunga ndoa japo tuliachana vibaya lakini nilijipa moyo tu.
nilipojifungua nilimtaarifu alinipa hongera japo hakuhudumia wala matimizi hakutoa ila alitoa jina na hatukuwasiliana tena na ni miezi 2 sasa.
kabla alikua anamtoto wa miaka 7 alizaa na mwanamke mwingine na walisha achana pia.
leo nimetumia acount ya mtu mwingine fb nimechart nae mpaka kafikia kunitaka uchumba katika kukibali nikamwelezea story feki ya maisha na yeye akaniambia.
kilichoniuma hamtambui mtoto wangu kasema anamtoto mmoja tu!!!
nimeumia sana mungu shahidi sijawahi kumsaliti na yeye analijua hilo sikuwahi kabisa kumchanganya na mwanaume mwingine mungu wangu wa mbinguni ni shahidi.
hata kama mimi hanitaki kwa nn asimtambue mtoto wake? asimtunze sawa lakini ajue ni mtoto wake. nimeumia sana jmn!!!

Kumfuatilia mtu ambaye mlishaachana ni kujitakia presha zisizo na msingi!!

Na kwa kuwa anachat nawe kwa akaunti asiyoijua, anaweza kusema chochote as long as ye anakuhitaji kwa matumizi yake.

Ushauri: wacha kabisa kumfuatilia we lea mwanao kipenzi na angalia mustakabali wa maisha yako na ya mwanao!! Kama ana historia ya kuwa na mtoto na hakuoa ulipaswa ujifunze ila kwa kuwa limeshatoke basi liache lipite kwa heri
 
Jamani umejieleeeeeza huku jf ungempa nafs ya kuongea nae kwa mda mrefu HIV mngeelewana pia ht we umekosea kwanin uchat na MTU ili kumfanya akusariti?
 
Mama pita,samahani kama ntakuwa nimekuchanganya,sio wewe uliyewekaga thread Kuwa unatafuta baba mlezi atakayekuwa tayari umpe mtoto akishazaliwa,na wakati huo ulikuwa na ujauzito wa miezi 8?na tukakushauri cha kufanya,sio we we kweli? Mi sio mfukunyuaji mzuri wa thread zilizopita ila kumbukumbu zangu zinaniambia kama ni we we!kama nimejichanganya utanisamehe!

Cc: watu8 & Tyta
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom