wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,171
- 1,129
Mkuu umesema mmejadiliana mkafikia mwafaka we subiri tu mpunga utaingia kwenye accounts
Natumaini unalijua hilo.Irak leo mabomu yamelipuka kanisani na kuuwa watu 34 je na hili vipi?
swissme
ila ni wale jamaa ndio wamejitoa muhanga.Mungu awaweke apendapo wahanga wa hilo tukio.
ila ni wale jamaa ndio wamejitoa muhanga.
swissme
ila watu na dini zao wajinga yaani mtu anajitoa muhanga unadhani Mungu atawapokea?na je dini yetu inatufundisha kujitoa muhanga ni baraka?Watahukumiwa na kuwekwa wanapostahiki waliouwa na waliouliwa.
ila watu na dini zao wajinga yaani mtu anajitoa muhanga unadhani Mungu atawapokea?na je dini yetu inatufundisha kujitoa muhanga ni baraka?
swissme
ila watu na dini zao wajinga yaani mtu anajitoa muhanga unadhani Mungu atawapokea?na je dini yetu inatufundisha kujitoa muhanga ni baraka?
swissme
kama ni kweli ina maana tunafundishwa kuuwa sio kupendana.ila tulidanganywa hatukwenda shule Elimu yetu Duni.bismilia cool zini sister haki.maana yake unaweza kumzini sister ni haki akikubali je ni kweli?Iulize biblia:
8 usimkubalie wala usimsikize; wala jicho lako lisimwonee huruma, wala usimwache, wala usimfiche;
9 mwue kweli; mkono wako na uwe wa kwanza juu yake katika kumwua, na baadaye mikono ya watu wote.
10 Nawe mtupie mawe hata afe; kwa kuwa alitaka kukupotoa na Bwana, Mungu wako aliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
11 Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
Bidada kakimbia kwasabu kaona Kuna kitu unamtafuta, kakuacha juu ya mataakama ni kweli ina maana tunafundishwa kuuwa sio kupendana.ila tulidanganywa hatukwenda shule Elimu yetu Duni.bismilia cool zini sister haki.maana yake unaweza kumzini sister ni haki akikubali je ni kweli?
swissme
Bidada kakimbia kwasabu kaona Kuna kitu unamtafuta, kakuacha juu ya mataa
Iulize biblia:
8 usimkubalie wala usimsikize; wala jicho lako lisimwonee huruma, wala usimwache, wala usimfiche;
9 mwue kweli; mkono wako na uwe wa kwanza juu yake katika kumwua, na baadaye mikono ya watu wote.
10 Nawe mtupie mawe hata afe; kwa kuwa alitaka kukupotoa na Bwana, Mungu wako aliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
11 Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
Habari wakuu
Jana nilipata taarifa kuwa mishahara tayari lakini niliangalia kwenye akaunti nikajibiwa salio halitoshelezi,kwenye akaunti ya mshahara mara nyingi natoa pesa zote.
Leo nimeamua kwenda kwa Afisa utumishi amenijibu kuwa mimi ni mtumishi hewa, tumejadili pale ili kuweka mambo sawa, cha ajabu ameniambia niondoke mshahara unaingia ndani ya muda mfupi. Muda huu naangalia jibu ni salio halitoshelezi
Nataka kujua haki zangu kuhusu tatizo hili.
Je ni haki kuzuia mshahara bila kujiridhisha kama mimi ni mtumishi halali au hewa!
Ushauri tafadhali
Habari wakuu
Jana nilipata taarifa kuwa mishahara tayari lakini niliangalia kwenye akaunti nikajibiwa salio halitoshelezi,kwenye akaunti ya mshahara mara nyingi natoa pesa zote.
Leo nimeamua kwenda kwa Afisa utumishi amenijibu kuwa mimi ni mtumishi hewa, tumejadili pale ili kuweka mambo sawa, cha ajabu ameniambia niondoke mshahara unaingia ndani ya muda mfupi. Muda huu naangalia jibu ni salio halitoshelezi
Nataka kujua haki zangu kuhusu tatizo hili.
Je ni haki kuzuia mshahara bila kujiridhisha kama mimi ni mtumishi halali au hewa!
Ushauri tafadhali
tatizo lilikua hakua ameingiziwa mshahara wake kwenye akaunti yake.!!Hongera tatizo lilikua nini?.......