Nimetumbuliwa jipu jamani,sijapata mshahara

Nimetumbuliwa jipu jamani,sijapata mshahara

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,326
Reaction score
7,529
Habari wakuu
Jana nilipata taarifa kuwa mishahara tayari lakini niliangalia kwenye akaunti nikajibiwa salio halitoshelezi,kwenye akaunti ya mshahara mara nyingi natoa pesa zote.

Leo nimeamua kwenda kwa Afisa utumishi amenijibu kuwa mimi ni mtumishi hewa, tumejadili pale ili kuweka mambo sawa, cha ajabu ameniambia niondoke mshahara unaingia ndani ya muda mfupi. Muda huu naangalia jibu ni salio halitoshelezi
Nataka kujua haki zangu kuhusu tatizo hili.

Je ni haki kuzuia mshahara bila kujiridhisha kama mimi ni mtumishi halali au hewa!

Ushauri tafadhali
 
Unangalia kwa kutumia simu? Salio halijitoshelezi,mbona kama hiyo mesiji sijailewa usijekuta ni.salio la simu halijitoshelezi kuangalia muamala wako?
Naangalia kwa NMB Mobile,akaunti haina pesa
 
"tumejadili pale ili kuweka mambo sawa" sasa wewe utajadili vipi na afisa utumishi wakati vitu vya muhimu kuonyesha ni vyeti original. Ninashindwa kukusaidia kwasababu sijui unafanya kazi sehemu ipi kila mahala kuna utaratibu wake wa kupereka malalamiko.
 
"tumejadili pale ili kuweka mambo sawa" sasa wewe utajadili vipi na afisa utumishi wakati vitu vya muhimu kuonyesha ni vyeti original. Ninashindwa kukusaidia kwasababu sijui unafanya kazi sehemu ipi kila mahala kuna utaratibu wake wa kupereka malalamiko.
Yote yamefanyika
 
"tumejadili pale ili kuweka mambo sawa" sasa wewe utajadili vipi na afisa utumishi wakati vitu vya muhimu kuonyesha ni vyeti original. Ninashindwa kukusaidia kwasababu sijui unafanya kazi sehemu ipi kila mahala kuna utaratibu wake wa kupereka malalamiko.
Nimeondoka kwa amani baada ya kuambiwa pesa inaingia lakini hadi muda huu hakuna kitu
 
"tumejadili pale ili kuweka mambo sawa" sasa wewe utajadili vipi na afisa utumishi wakati vitu vya muhimu kuonyesha ni vyeti original. Ninashindwa kukusaidia kwasababu sijui unafanya kazi sehemu ipi kila mahala kuna utaratibu wake wa kupereka malalamiko.

= kupeleka
 
Back
Top Bottom