thanks for the fix= kupeleka
Tayari pesa imejaa kwenye Akaunti[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hongera Na sikukuu njema, maana ulilalamika sanaTayari pesa imejaa kwenye Akaunti[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
VIP sasa? Nirushie angalau ya mbili barid mtu wangu, nipo juu ya mawe mbaya,Asante
Kuna uzembe ulifanyika wakati wanatafuta watumishi hewa,namimi nikawekwa kundi la watumishi hewa
kama ni vyeti halala basi kajiajiriNi vyeti halali kabisa kutoka kidato cha nne hadi UDSM
umeona hilo tu.
swissme
Ingia PM bana unifowadia angalau 20 basSiku mbili umemaliza salary tayari[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Bidada pasaka njemaWewe usingeliona ungekuja kubwabwaja hapa bila mpango?
Bidada pasaka njema
Brussels kuna mabomu yamelipuka je wewe ni nini msimamo wako.Wewe usingeliona ungekuja kubwabwaja hapa bila mpango?
Brussels kuna mabomu yamelipuka je wewe ni nini msimamo wako.
swissme
Natumaini unalijua hilo.Irak leo mabomu yamelipuka kanisani na kuuwa watu 34 je na hili vipi?Sijasikia. Si kila unachosikia wewe na mimi nimekisikia.