Sex addict
JF-Expert Member
- Feb 21, 2023
- 902
- 1,816
Wakuu za masiku, mimi ni mwenyeji hapa JF kwa masaa 2.
Kisa 1) Nipo chuo mwaka wa 1 sasa, ila kuna kasichana kamenizimikia sana, nikiwa kwenye discussion kananiangalia sana mpaka napata aibu [emoji17][emoji17].
Kama jana baada ya kutangaziwa matokeo ya UE alifurahi kuona nimefaulu. Kila muda hata akiwa na wenzake lazima anijadili, aseme eti mtumbad64 hajui matusi, ni mstaarabu, sijui nini, daah!
2. 🙂 huyu anapenda kunikonyeza nikiwa library kila muda japo namlia ban, nampotezea, nilipewa umbea jana kwamba eti ananikubali sana, khaah, ila nimevunga.
Wa 3,4,5;
Huyu wa 3 ni mke wa mtu anamakalio makubwa kama behewa, anakubali eti nilivyo. Hana sura nzuri huyu.
Wa 4 huyu ni mke wa mtu pia, ana makalio ila shida hana sura nzuri, not my type kabisa.
Wa 5 ni sista wa kikatoliki from Kenya, alikuwa anafanya kazi A level, nilipomaliza naye pia alinipa hadi namba. Nilienda ku-clear receipts, nilivyoenda kuchukua slip ya form 6 akanishangaaa balaa daah, ana makalio na yeye ila siwezi zini na mtu wa Mungu asee.
In short wanangu shida kubwa ipo kwa 1 na 2, nataka niwa potezeee kiaina. Nipeni ufundi maana nipo nao chuo for 3 years ila sijawakubali kabisa, nifanyeje na mi ni domo zege? Naogopa wenzangu wasije wakanicheka kwamba naogopa mademu.
Nawasilisha [emoji53][emoji53][emoji53].
Kisa 1) Nipo chuo mwaka wa 1 sasa, ila kuna kasichana kamenizimikia sana, nikiwa kwenye discussion kananiangalia sana mpaka napata aibu [emoji17][emoji17].
Kama jana baada ya kutangaziwa matokeo ya UE alifurahi kuona nimefaulu. Kila muda hata akiwa na wenzake lazima anijadili, aseme eti mtumbad64 hajui matusi, ni mstaarabu, sijui nini, daah!
2. 🙂 huyu anapenda kunikonyeza nikiwa library kila muda japo namlia ban, nampotezea, nilipewa umbea jana kwamba eti ananikubali sana, khaah, ila nimevunga.
Wa 3,4,5;
Huyu wa 3 ni mke wa mtu anamakalio makubwa kama behewa, anakubali eti nilivyo. Hana sura nzuri huyu.
Wa 4 huyu ni mke wa mtu pia, ana makalio ila shida hana sura nzuri, not my type kabisa.
Wa 5 ni sista wa kikatoliki from Kenya, alikuwa anafanya kazi A level, nilipomaliza naye pia alinipa hadi namba. Nilienda ku-clear receipts, nilivyoenda kuchukua slip ya form 6 akanishangaaa balaa daah, ana makalio na yeye ila siwezi zini na mtu wa Mungu asee.
In short wanangu shida kubwa ipo kwa 1 na 2, nataka niwa potezeee kiaina. Nipeni ufundi maana nipo nao chuo for 3 years ila sijawakubali kabisa, nifanyeje na mi ni domo zege? Naogopa wenzangu wasije wakanicheka kwamba naogopa mademu.
Nawasilisha [emoji53][emoji53][emoji53].