chiko
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 608
- 317
Tuko pamoja mkuu ila anaonekana kama mwanamke mbishi mbishi vile.Anyway sipendi wanawake wa aina yake sijui mwenzangu kama utamweza jiandae kufuata sheria,kanuni na taratibu amekaa kiBeijing sana.
Haaaahhh!!!, Kama wewe hupendi, wenzako wanakufa saaaaana!!!, kwa watu kama hao....Nafikiri jamaa akimwangusha atajisikia SIMBA!!