Mzee Uchwara
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 119
- 35
wanawake wa mtandaoni ni hao hao unaokutana nao barabarani ,kwenye madaladala n.k, wapo walioolewa wenye wachumba na masingle pia, usidhan wa mtandaoni wanaishi sayari nyingine mkuu.
Uzoefu unaonesha ni rahisi kushawishika na kubadili mawazo kwa sababu wanachati na watu wengi na tofauti tofauti ni rahisi kumshawishi, mimi nimeshajaribu hivo na nimeona. Wanaume ni watu hatari sana na wanambinu nyingi mkuu.