lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
Hahahah nitajitahidi kadri ya uwezo wangu ili uishi kwa raha bibie lara1
Mhhhhhhh! Achana na hawa mashabiki maandazi wakitiwa hamira kidogo wanaumuka beseni zima! Niambie my sweety, sweety, my number one, pete tunongelea karat ngapi? Siaki kukumaliza sanaa tanzanite kajiwe cha M tu kanatosha! Au mi muke ya masai ntavaaje SARE YA JIJI za kwaNchimbi! Haihuuuuuuu kabisaa.
Afu ukikaa na mie kupata hela IS NOT AN OPTION!!!!!! Ukija mikono mitupu mambo ya free pumbu MLANGO SIFUNGUI! Eeeeeeh! bila hivo utakuwa hutoki kimaisha! Afu tutabakia kusoma plate number za watu! Ndo nini sasa! Pesa utapata hata kwa bakora ikibidi! LOL!