nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,178
- 523
Mimi ni kaka yake Lara1, hivyo kwanza ongea nami kwa herufi kubwa kabla ya hata kutangaza nia. Katika familia yetu mfuko ndicho kigezo cha kwanza kwani hata mahari yake lazima yatolewe njinjo na si chini ya 1Billion.Wakuu kwa muda mrefu nimekuwa nikivutiwa sana na huyu binti lara1,nimetokea kumpenda sanaa na natamani awe mke wangu kwa sababu hajaolewa nimempenda sana lara1 natangaza nia ya kumchumbia binti lara1