Nimetokea kukupenda Sana

Nimetokea kukupenda Sana

Mmh mme wake kishanipm ndugu mi sitaki kupigwa vichwa kisa udalali wa mapenzi....

Amekwambiaje naomba ni PM alicho kwambia maana mbona nimesikia kuwa D------ yupo single tena anaishi Dar-re--sa Laaam Hizi taarifa zinazosema ya kwamba ni mke wa mtu ni za uongo na nimesikia kuwa ni njia anayoitumia ili kuzuia kusumbuliwa humu jamvini.
 
HAPANA SIYO HUYO SIYO HUYO KABISA ninaye mzungumzia mimi kama unamfahamu ni mpole mstaarabu sana humu jamvini na ni mcheshi mno pia huwa anapenda sana kushinda jukwaa la celebreting forums na jukwaa la congrat complaint and advice .kwa maelezo haya naamini utakuwa unamfahamu.

hahahaaaaaaaa kwahiyo mie sio mstaarabu???
 
Amekwambiaje naomba ni PM alicho kwambia maana mbona nimesikia kuwa D------ yupo single tena anaishi Dar-re--sa Laaam Hizi taarifa zinazosema ya kwamba ni mke wa mtu ni za uongo na nimesikia kuwa ni njia anayoitumia ili kuzuia kusumbuliwa humu jamvini.

Aseee mapenzi upofu, ila we unajipofusha....
kila siku hapa wasukuma tunasema (wanajibusu) na mme wake we unasema yupo singo
ooh muke ya musukuma, mume wake anaitwa R....m
nitasutwa sasa
 
hahahaaaaaaaa kwahiyo mie sio mstaarabu???

Hata na wewe ni mstaarabu kiasi lakini ---------- ni MSTAARABU ZAIDI KUSHINDA Warembo Wote Humu Jamvini .Chakusikitisha-------- Hanitaki Tena.Basi nikasema kwa kuwa ------ hanitaki basi nije kwako na SASA NA WEWE UNAANZA KUNISUMBUA KAMA ----- na kwambia I Love You Hautaki Kuniambia I Love You Too.SIJUI NA WEWE UNAMPANGO WA KUNIACHA KAMA -------- alivyo niacha.
 
Aseee mapenzi upofu, ila we unajipofusha....
kila siku hapa wasukuma tunasema (wanajibusu) na mme wake we unasema yupo singo
ooh muke ya musukuma, mume wake anaitwa R....m
nitasutwa sasa

Eti haaminii kama Redlum ni mme wangu ataamini labda Yesu akirudiii nameless girl msaidie huyu mtu mi aniwache
 
Last edited by a moderator:
Mpende akupendaye.

Asiye Kupenda USIACHANE NAE Bali nikuendelea KUKOMAA Mpaka Mwisho Uwe Mzuri.MIMI NITAKOMAA Maana Upendo Wangu Umekuwa Mwingi Kwake Kama Nikiongea Naye Tu Humu Najisikia Raha Sijui NIKIONANA NAE LIVE ITAKUWAJE kwa kweli ----- anautesa moyo wangu sana .Mpaka sasa sijaona mrembo yoyote atakayeweza kuziba pengo lake ndio maana naendelea kukomaa hata kama hanitaki nikiamini ya kwamba huenda moyo wake ukabadilika na akaanza kunipenda kama navyo mpenda.
 
Asiye Kupenda USIACHANE NAE Bali nikuendelea KUKOMAA Mpaka Mwisho Uwe Mzuri.MIMI NITAKOMAA Maana Upendo Wangu Umekuwa Mwingi Kwake Kama Nikiongea Naye Tu Humu Najisikia Raha Sijui NIKIONANA NAE LIVE ITAKUWAJE kwa kweli ----- anautesa moyo wangu sana .Mpaka sasa sijaona mrembo yoyote atakayeweza kuziba pengo lake ndio maana naendelea kukomaa hata kama hanitaki nikiamini ya kwamba huenda moyo wake ukabadilika na akaanza kunipenda kama navyo mpenda.

Endelea kuomba pengine utampata tu.
 
Back
Top Bottom