Nimetokea kukupenda Sana

Nimetokea kukupenda Sana

Wengine witumiwa PM haziingii au hazijibiwi sasa nitatumaje.Na kuhusu kumtumia hela nimeshindwa maana hataki kunipa contact zake.

Ndo hivo sasa na wengine wakiwadondokea watu usiwaseme....
ni nani huyo nikupe contact zake.....
 
Ndo hivo sasa na wengine wakiwadondokea watu usiwaseme....
ni nani huyo nikupe contact zake.....

Ina maana na wewe humjui? mbona unamjua tu tatizo kanikataza ku mention ID yake na niki mention ID yake naongeza uadui lakini jina lake lina anzia na D na kuishia na e au jina lake anaitwa D-------e
 
Una mashairi kama Ayubu... Jitahidi Ayubu alimwimbia Mwenyezi Mungu mashairi, mpaka Mungu akamuhurumia na kumkomboa kutoka kwenye shida zake!
 
Hata mimi sijajua kwa sababu gani NIMEJIKUTA TU NAMPENDA SANA HUYU MDADA Najikuta na muwaza waza moyoni vitu vingine ni vigumu kueleza kwa kweli.

Sorry unampenda mtu kwa avatar? User name yake? michango? au nini?
 
Back
Top Bottom