nemulo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,589
- 438
Hivi upo serious mkuu SAYANSIKIMU?
Sorry, ni kwa SAYANSIKIMU
Hivi upo serious mkuu SAYANSIKIMU?
Hivi utampendaje mtu usie muona? Hamjawahi kukutana na wewe kichwa juu juu eti nakupenda.
This is ridiculous
SAYANSIKIMU nimeshakuulizaga kit kimoja............!
Chili somo bado linafundishwaga darasani kwa kipindi hiki cha ufisadi kutanda????
Hivi upo serious mkuu SAYANSIKIMU?
Ni ajali tu imetokea kwa bahati mbaya kati yangu na mrembo------ Mwanzoni tulikuwa tunazungumza naye vizuri nikiamini tutafika naye mbali lakini ghafla kanigeuka.
We humu utatongoza wake za watu shauri yakoo humu pia kuna majiniii atii
Umeona eeeeh ujue penzi ni kikohozi watu wakitoa ya moyoni
unajidai na kufungua thread oooh hayo mambo muandike pm
mbona we umeandika hadharani?
imarisha tongozo lako mtumie hela maneno hata kwenye tishirt yapo....ushauri tu!!!
Hahahahahaha
Heaven on Earth hii ndio raha ya jf, huyu jamaa ni wa pekee na comment yake huwa ni hiyo hiyo!
Kwakweli huwa ana niacha hoi!
Am happy is back..........
Hivi utampendaje mtu usie muona? Hamjawahi kukutana na wewe kichwa juu juu eti nakupenda.
This is ridiculous
Habariii ganii naona umeniitaa
Nani kwanza unamlilia hapa ni huyu nameless girl? maana kuna sehemu nimeona kakumention kama wewe ni wake hebu eleza vizuri ueleweke
Muonyeshe naona hapajuiHukujui PM????????
Hivi utampendaje mtu usie muona? Hamjawahi kukutana na wewe kichwa juu juu eti nakupenda.
This is ridiculous
Kakataa Kuniambia Contact Zake sasa nitamtumiaje.