Nimetokea kukupenda Sana

Nimetokea kukupenda Sana

Barua ya mapenzi hiyo, haya kila la kheri

Ipo kavukavu mno,hata kuzungumzia masuala ya ankara kashindwa! Sidhani kama ataeleweka,kwa namna wanavyohusudu pochi hawa watu,sijui.
 
Kwan wewe mgeni hili jukwaa
Unauliza makofi kituo cha polis

Sio nauliza makofi polisi kwasbb pia polisi unaweza upigwe virungu au mabuti badala ya makofi,mi ni kwamba naona kama jamaa anajipa matumaini while njia anayoitumia haitamfikisha atakako kufika...
 
wa dada wa MMU musituangushe, muhusika huruma yako inahitajika jamaa ndo hivo tena
 
Kwa aina hii ya uandishi wala hutampata huyo mwanamke/binti! Matatizo kibao, uwe unaacha nafasi kilka unapoanza sentensi mpya (baada ya nukta), yaani hadi napata makengeza! Na ni haki PM zako hazikumvutia, lol! Sijui ni King'asti, Evelyn Salt, Smile, mwallu?
Ewe ------- uvumilivu umenisha nimeamua kukuambia wazi kabisa ya kwamba ninakupenda.Muda mwingi nimekuwa nakufuatilia nakufanya mambo mbalimbali ili uniweke moyoni mwako lakini sijafanikiwa .Na sasa hivi nimekuwa kero kwako hutaki kabisa kuongea na mimi.Mrembo--------ina maana wewe unachukia kupendwa? Kwa nini unanifanyia hivi? mbona unanifanyia mbona mwanzoni tulikuwa tunazungumza vizuri tu kwa kipindi hiki unanifanyia hivi sio vizuri hivyo mimi nakupenda ,nakufuatilia ,nakufikiria lakini nakushangaa mwenzangu kama vile huna mpango na mimi kuwa na huruma basi nifikiriefikirie basi ewe mrembo----- kama mimi navyo kufikiria hakika mimi nakupenda naomba na wewe unipende kama kunasehemu nilikuuzi nisamehe kwa kweli ------ nakupenda sana.Nimesita hata kukutaja nisije nikazidi kukuuzi zaidi ukani report abuse nikapigwa banned .LAKINI NAAMINI UJUMBE WANGU UTAKUWA UMEUPATA .naomba tusameheane na tuuboreshe uhusiano wetu.Nakutakia jioni njema-------
 
Last edited by a moderator:
Matumaini ya "Kenge" kuwa siku moja atakuwa "Mamba".
 
Kwa aina hii ya uandishi wala hutampata huyo mwanamke/binti! Matatizo kibao, uwe unaacha nafasi kilka unapoanza sentensi mpya (baada ya nukta), yaani hadi napata makengeza! Na ni haki PM zako hazikumvutia, lol! Sijui ni King'asti, Evelyn Salt, Smile, mwallu?

Mimi nia yangu ilikuwa nikumfikishia ujumbe tu makosa ya kiuandishi hayana tija.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom