muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,543
- 3,598
Ni kweli sasa hivi amekikalia paw, najua tukifika Mikese anashuka na mzee wa shoka nakikalia sasa, ehee nikupe kile ambacho hukipati kutoka kwa mzee paw!! Halafu PM yangu umeipenda kweli hadi unakenua meno tu!
hebu acha wivu bwana na wewe, akhaaa! mapenzi kiti cha daladala