Nimetokea kukupenda Sana

Nimetokea kukupenda Sana

Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba
 
Amenifanya kama 'spea tairi' wadhani nitamsamehe!!!!

HAPANA KABISA kumbuka kabla sijaamua kuja kwako nilikuwa nikimfuatilia D.zarde .Nilianza kumfuatilia D.zarde baada ya D.zare kunipiga chini ndo ni kaamua nije kwako LAKINI KIUKWELI hata na wewe nakupenda lakini D.zarde Nampenda zaidi kama sitafanikiwa kumpata D.zarde basi naomba tuuboreshe upendo wetu na punguza kupenda hela ukifanya hivyo huenda nitakuja kumsahau D.zarde kabisa.
 
Asiye Kupenda USIACHANE NAE Bali nikuendelea KUKOMAA Mpaka Mwisho Uwe Mzuri.MIMI NITAKOMAA Maana Upendo Wangu Umekuwa Mwingi Kwake Kama Nikiongea Naye Tu Humu Najisikia Raha Sijui NIKIONANA NAE LIVE ITAKUWAJE kwa kweli ----- anautesa moyo wangu sana .Mpaka sasa sijaona mrembo yoyote atakayeweza kuziba pengo lake ndio maana naendelea kukomaa hata kama hanitaki nikiamini ya kwamba huenda moyo wake ukabadilika na akaanza kunipenda kama navyo mpenda.

Unavyofunguka kama vile unampenda kweli....
 
Hata na wewe ni mstaarabu kiasi lakini ---------- ni MSTAARABU ZAIDI KUSHINDA Warembo Wote Humu Jamvini .Chakusikitisha-------- Hanitaki Tena.Basi nikasema kwa kuwa ------ hanitaki basi nije kwako na SASA NA WEWE UNAANZA KUNISUMBUA KAMA ----- na kwambia I Love You Hautaki Kuniambia I Love You Too.SIJUI NA WEWE UNAMPANGO WA KUNIACHA KAMA -------- alivyo niacha.

unataka nikwambie nini?
 
HAPANA KABISA kumbuka kabla sijaamua kuja kwako nilikuwa nikimfuatilia D.zarde .Nilianza kumfuatilia D.zarde baada ya D.zare kunipiga chini ndo ni kaamua nije kwako LAKINI KIUKWELI hata na wewe nakupenda lakini D.zarde Nampenda zaidi kama sitafanikiwa kumpata D.zarde basi naomba tuuboreshe upendo wetu na punguza kupenda hela ukifanya hivyo huenda nitakuja kumsahau D.zarde kabisa.

hahahaaaaaaaaaa.... we endelea huko huko... mie huku nshakuhama.. naenda kwa Himidini ingawa sielewi namuanzaje....
 
Last edited by a moderator:
Shauri ako we na hilo likichwa sijui la nini ndo maana sikupendi....
weka avatar ya handsome uone nitakavokuhangaikia pm

Haha, wenye avatar mbaya ndo wazuri basi.

Ila wenye urembo mwingi ni wabaya, fanya kautafiti kadogo tu utakuja niambia
 
kuna nini hapa mbona sielewi

Kuna mdada nampenda sana humu jamvini najaribu kila aina ya njia kumfikishia ujumbe lakini hanielewi.Cha ajabu na cha kusikitisha kanipiga marufuku ku mention ID yake humu
 
hahahaaaaaaaaaa.... we endelea huko huko... mie huku nshakuhama.. naenda kwa Himidini ingawa sielewi namuanzaje....

Usiende kwanza subiri D.zarde anipe majibu.Kama akinipa jibu zuri leo nitakuacha uende kwa amani lakini kama D.zarde akiendelea na msimamo wake wa kutokunipenda basi itanibidi nije kwako rasmi .USIENDE KWANZA SUBIRI KWANZA D.zarde anifikirie kwa mara ya mwisho.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja na mie nianzishe uzi wa kumpenda paw wangu. Manake malavidavi yamenikolea haswa
 
HAPANA KABISA kumbuka kabla sijaamua kuja kwako nilikuwa nikimfuatilia D.zarde .Nilianza kumfuatilia D.zarde baada ya D.zare kunipiga chini ndo ni kaamua nije kwako LAKINI KIUKWELI hata na wewe nakupenda lakini D.zarde Nampenda zaidi kama sitafanikiwa kumpata D.zarde basi naomba tuuboreshe upendo wetu na punguza kupenda hela ukifanya hivyo huenda nitakuja kumsahau D.zarde kabisa.

hahahahahah Uwiiiiiiiii HII POST IMEKUAJE SIKUIONA UWIII
 
Back
Top Bottom