Nimetembea na wanawake 29 ndani ya mwaka mmoja

Nimetembea na wanawake 29 ndani ya mwaka mmoja

Kwa mademu wa kumbi za starehe, hiyo idadi ni ndogo sana mkuu. Maana wenyewe nikama bidhaa, wala usidhan wanapenda muonekano wako, nipesa zako wanapenda,

Jitahidi sana kuongeza juhudi ikifuka mahali ukashindwa kujua idadi ya unao watafuna ndio kidogo utakuwa katika levo ambayo iko sawa.

Mkuu. sio kumbi za starehe za kishamba kama unazozifahamu wewe...sijui mnaitaga Billcanas na kwingineko huko. mimi viwanja vyangu vya kula bata sio kama viwanja vya washkaji wengi wa hapa JF..Halafu huwezi kuamini, kati ya hao wote hakuna aliyewahi kula zaidi ya elfu 10,000/=

Kama nilivyoandika hapo juu. Mchizi nina muonekano fulani hivi wa kibabe halafu ni kama nmezaliwa na swagga za kuwateka kirahisi sana hawa totoz. Ukikaa na mmi siku moja unaweza kusema nina kizizi cha mmasai.

Kuhusu idadi:- usijali kuhusu idadi, niliamua kufanya social experiment ili nitambue wastan wa totoz ambazo huwa natoka nazo kwa mwaka.
 
Hapana, MWAKA un WIKI 52 .
kwanza alowatumia ni wachache sana kuna mpuuzi mmoja ye alikuwa anaandika kwenye Daftari kabisa yaani tangu aaanze huo ujinga kila mwaka anachinja wanawake zaidi ya 60. Naita upuuzi mana maisha yake hayana kitu anachoweza kujivunia kama mwanaume zaidi ya kumaliza hela kwenye huo ujinga.

Hata mimi ninaunga na wewe mkuu kumuita huyo Jamaa Mpuuzi.

Kwa sababu zifuatazi:-

1. Ametoka na totoz 60, idadi hiyo kubwa inamaanisha anatoka na totoz za viwango vya chini sana, wengi ni majimama, masingo maza, mabonge, na wale totoz wenye stress na ugumu wa maisha. kila mwanaume anaweza. nabidi ajifunze kutoka kwangu maana mimi huwa ninatoka na totoz wakali mno kiasi kwamba hata ukipata bahati ya kutembea na mmoja wao kati ya hao 29 utajiona na utofauti kidogo. totoz wengi wako na umri 20-26.

2. Ukiona anatumia pesa basi ni lazima atakuwa anafanya ujinga kwakuwa mwanaume kamili ni lazima totoz ziwe na hamu ya kukubanjua wewe, na sio wewe ndio uwe mwenye hamu zaidi ya kubanjua totoz. Huyo jamaa anakosa mvuto kama nilio nao mimi ndio maana anatumia pesa kufidia kile ambacho hana. na huo ninaita upuuzi.
 
Uliposema kipato wastani sana, kwann huo muda usiutumie kutengeneza maisha, by the way kupanga ni kuchagua, hongera kwa takwimu👏👏👏👏👏
 
Totoz 29 zidisha mara wastani wa 20,000 kwa kila totozi weka na gesti 10 kwa kila totozi pamoja na msosi kwa kila totozi fanya 10,000

Jumla ni kama 40,000 kwa kila totoz 1 fanya mara 29=======1,129,000/= aisee badi ndogo sana kazana kazana kijana
 
Faida ulizopata haswa Ni zipi kumzidi aliyegegeda demu Moja? Ukapime ngoma ulete majibu hapa

Kugegeda demu mmoja = Upungufu wa mvuto wa kiume.
Kugegeda demu mmoja = Hatari ya kubambikiwa mtoto asiye wako.
Kugegeda demu mmoja = Kubanjuka mara chache zaidi "ndio maana walio oa wanaongoza kutokuwa na furaha"
Kugegeda demu mmoja = Kuishi kinyume na namna halisi ya kibaiolojia ya mwanaume "A man is a polygamist by nature, and a monogamist by societal"
Kugegeda demu mmoja = Maana yake umeoa "kama umeoa sikushauri ufuate nyayo zangu"

Ukiona una toto mmoja tambua kuwa kuna pahala umepungukiwa na inakupasa upafanyie kazi.
 
Wewe jamaa kolo Sana. Yaani unachukua machangudoa alafu unasema wanakukubali muonekano wako? Demu wa club Tena one night stand ni kahaba tuu.
 
Hongera Mkuu, Imekaa poa hio iweke kwenye CV kabisa


Hivi huku duniani bado kuna mambo za CV.
Mimi niilikwisha tupa cheti kwenye shimo la takataka. hivi niongeavyo na wewe nina multiple streams of incomes.
 
Bado sana jitahidi.. kuna miamba hiyo ni idadi ya mwezi au wiki tatu tuu


Kuna msemo wa kimombo unasema "Quality over Quantity" - Ukimaanisha Ubora ni kipaumbele ukilinganisha na Idadi.
Totoz ninazobanjua ni moto hatari mkuu. Yaani nikiweka picha ya mmoja wao basi hata yule asiye na uwezo wa kusimamisha Jogoo (hanithi) ataweza kusimamisha.
 
Kugegeda demu mmoja = Upungufu wa mvuto wa kiume.
Kugegeda demu mmoja = Hatari ya kubambikiwa mtoto asiye wako.
Kugegeda demu mmoja = Kubanjuka mara chache zaidi "ndio maana walio oa wanaongoza kutokuwa na furaha"
Kugegeda demu mmoja = Kuishi kinyume na namna halisi ya kibaiolojia ya mwanaume "A man is a polygamist by nature, and a monogamist by societal"
Kugegeda demu mmoja = Maana yake umeoa "kama umeoa sikushauri ufuate nyayo zangu"

Ukiona una toto mmoja tambua kuwa kuna pahala umepungukiwa na inakupasa upafanyie kazi.
Safi sana[emoji122]
Ongeza bidii tu mkuu mwisho wa mwaka tutakuaward tuzo ya ugegedaji bora
 
We ni mpuuzi tu ,MTU .wenye kujiekewa hawezi jisifia kama wew venye unafanya ,
Alafu uu ni ushamba ata sio uwanaume,
 
Totoz 29 zidisha mara wastani wa 20,000 kwa kila totozi weka na gesti 10 kwa kila totozi pamoja na msosi kwa kila totozi fanya 10,000

Jumla ni kama 40,000 kwa kila totoz 1 fanya mara 29=======1,129,000/= aisee badi ndogo sana kazana kazana kijana
NARUDIA MARA NYINGINE.
Totoz ninazobanjua hazivutiwi na mimi kwa ajili ya pesa zangu au mavazi. Nyingi zinavutiwa na swaga zangu na muonekano wangu wa kibabe. Karibu robo ya hao 29 wameingia gharama wao wenyewe bila kuingia mfukoni kwangu.

Hivi dogo bado mnatumiaga Gesti kuwapeleka totoz huko, fanya hima uondoke kwa mama na uanzishe makazi yako binafsi, Mwanamke anayekubali kupelekwa gesti hana uwezo wa kunifanya nisimamishe dushe hata akiwa mtupu.. mchizi huwa ninawamaliziaga maeneo mabalimbali ikiwamo kwenye BMW langu, VIP Toilets...nikiona vipi huwa ninampeleka Ghetto.
 
NARUDIA MARA NYINGINE.
Totoz ninazobanjua hazivutiwi na mimi kwa ajili ya pesa zangu au mavazi. Nyingi zinavutiwa na swaga zangu na muonekano wangu wa kibabe. Karibu robo ya hao 29 wameingia gharama wao wenyewe bila kuingia mfukoni kwangu.

Hivi dogo bado mnatumiaga Gesti kuwapeleka totoz huko, fanya hima uondoke kwa mama na uanzishe makazi yako binafsi, Mwanamke anayekubali kupelekwa gesti hana uwezo wa kunifanya nisimamishe dushe hata akiwa mtupu.. mchizi huwa ninawamaliziaga maeneo mabalimbali ikiwamo kwenye BMW langu, VIP Toilets...nikiona vipi huwa ninampeleka Ghetto.
Ahahahaa, unalipiwa gharama na demu?? Jitafakari kaka
 
Back
Top Bottom