Nimetembea na shemeji yangu

Nimetembea na shemeji yangu

kuna jamaa alikuwa anatembea na mke wa kaka yake sababu huyo kaka ni mjeshi uwa hayupo.sasa baada ya miaka 3 anagundua kumbe kaka yake yupo kwenye vidonge kwa miaka zaidi ya 6 sasa.

shauri yako
 
Kichwa chako ni sawasawa na kopo, au pipa na mfuniko ambalo halina kitu ndaniyake.
 
safi sana sura ya mbwa endelea kula hiyo papuchi inawezeka kaka yako mtaimbo wake umelala solo.
 
Kwa mujibu wa maelezo yako mpaka unaenda kwa huyo shemeji yako hukupanga kufanya ngono. Na hiyo inamaanisha kuwa hukuwa na kinga yoyote. Na hii ina maana kuwa unapata maambukizi ambayo hukuyapanga pia.
 
Kwa style hiyo lazima mngebanduana tu maana mkipiga mitungi kinachofata ni mikasi tu, vp lakini ulivaa njumu Au ulicheza naye dry?
 
Wewe ni mwongo
Si wewe umeandika juzi hapa kuwa umemla 0713 mhindi!!!!
Acha matusi ya kijinga alafu utake watu wakushagilie mitandaoni.
Nyambaff kabisa.
 
Hongera kwa kutokuwa mvivu wa maamuzi, ungemuacha angekuhisi ni punga!!
 
Back
Top Bottom