Nimetembea na shemeji yangu

Nimetembea na shemeji yangu

Acha Ulimbuken Bhas, Ameoza Huyo Na Umeukwaa, Sorry
 
Amelipiza kisasi kwa imani kuwa kaka yako ndie kamuambukiza HIV. Dah Mwanamke katili saaana huyo.

haaa haa haa haaa haa haa haa haa, hakujua alivyonenepa na kupendeza ni matokeo ya ARVS, am just joking
 
Khaa!! wiseboy kwani yale makanisa 50 uliyoahidi kujenga nchi nzima tayari?
 
Hivi mtu huwa unajisikiaje unavyoona watu wanavyotumia nguvu nyingi kukushauri kitu ambacho unajua wazi kuwa ni cha uongo na umetunga......
Au huwa mnakaa sehemu na kutucheka ujinga...
Tubadilike wajameni watu wengi wanaitegemea JF kupata ushauri mbali mbali zenye miongozo maishani mwao...utunzi kama huu huwapelekea member kuliona kila jambo ni la masihara na kupelekea wahitaji ushauri kukosa ushauri....
TUBADILIKE...
 
shemeji shemeji uku wazima taa......

mlifaidi inaelekea.....na ili usijute inabidi urudie game zaidi na zaidi.......
 
Wakuu kuna mambo binadamu unaweza kuyafanya mwisho wa siku ukajikuta unajuta kwa nini umetenda.Ni hivi kaka yangu alikuwa anaishi kinyumba na mwanamke mmoja, waliishi karibia miezi sita wakaachana. Sasa Jumamosi iliyopita asubuhi nilienda Mlimani City kufanya shopping, nikamkuta na shemeji yaangu naye yupo hapo.

Alishangaa sana kuniona hata mie nilistaajabu pia maana urembo wake ulikuwa umeongezeka mara dufu. Akanisifia sana kuwa nimekuwa handsome sana siku hizi, mie niliona kawaida tu.Kabla hatukuwa na mawasiliano yoyote yale, tukapeana namba za simu. Jumapili akanipigia na kuomba tuonane jioni, jioni ile nikachoma mafuta hadi sehemu ya ahadi.

Tuliongea mengi huku tukinywa bia, mida ya saa 2 usiku nikamrudisha kwake, kufika kwake akagoma nisiondoke kwanza. Akaenda kuleta bia kadhaa tukaendelea kunywa tukiwa wawili tu, mida ya saa 4 usiku akasaula nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa akidai joto kali. Kwa kweli uzalendo ulinishinda nikaanza kumgegeda kwenye kochi.

Wanajamvi, nani mwenye hatia hapo. Kesho yake nilijuta sana

Ungekuja kuniona nikupemushauri
 
huyu amekubali kukupa haraka hivyo ujue kuna mtego umewekewa mkuu lakini na wewe umezidi umalaya unamla mpaka shemeji yako
 
Back
Top Bottom