hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 457
JF nadhani jukwaa sasa linakua la kitoto la kupotezea muda
Wakuu kuna mambo binadamu unaweza kuyafanya mwisho wa siku ukajikuta unajuta kwa nini umetenda.Ni hivi kaka yangu alikuwa anaishi kinyumba na mwanamke mmoja, waliishi karibia miezi sita wakaachana. Sasa Jumamosi iliyopita asubuhi nilienda Mlimani City kufanya shopping, nikamkuta na shemeji yaangu naye yupo hapo.
Alishangaa sana kuniona hata mie nilistaajabu pia maana urembo wake ulikuwa umeongezeka mara dufu. Akanisifia sana kuwa nimekuwa handsome sana siku hizi, mie niliona kawaida tu.Kabla hatukuwa na mawasiliano yoyote yale, tukapeana namba za simu. Jumapili akanipigia na kuomba tuonane jioni, jioni ile nikachoma mafuta hadi sehemu ya ahadi.
Tuliongea mengi huku tukinywa bia, mida ya saa 2 usiku nikamrudisha kwake, kufika kwake akagoma nisiondoke kwanza. Akaenda kuleta bia kadhaa tukaendelea kunywa tukiwa wawili tu, mida ya saa 4 usiku akasaula nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa akidai joto kali. Kwa kweli uzalendo ulinishinda nikaanza kumgegeda kwenye kochi.
Wanajamvi, nani mwenye hatia hapo. Kesho yake nilijuta sana
mkuu hapo mimi nimenote vitu viwili, Mlimani City na Kudrive
Pombe! Mama wa maasi yote!
Wakuu kuna mambo binadamu unaweza kuyafanya mwisho wa siku ukajikuta unajuta kwa nini umetenda.Ni hivi kaka yangu alikuwa anaishi kinyumba na mwanamke mmoja, waliishi karibia miezi sita wakaachana. Sasa Jumamosi iliyopita asubuhi nilienda Mlimani City kufanya shopping, nikamkuta na shemeji yaangu naye yupo hapo.
Alishangaa sana kuniona hata mie nilistaajabu pia maana urembo wake ulikuwa umeongezeka mara dufu. Akanisifia sana kuwa nimekuwa handsome sana siku hizi, mie niliona kawaida tu.Kabla hatukuwa na mawasiliano yoyote yale, tukapeana namba za simu. Jumapili akanipigia na kuomba tuonane jioni, jioni ile nikachoma mafuta hadi sehemu ya ahadi.
Tuliongea mengi huku tukinywa bia, mida ya saa 2 usiku nikamrudisha kwake, kufika kwake akagoma nisiondoke kwanza. Akaenda kuleta bia kadhaa tukaendelea kunywa tukiwa wawili tu, mida ya saa 4 usiku akasaula nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa akidai joto kali. Kwa kweli uzalendo ulinishinda nikaanza kumgegeda kwenye kochi.
Wanajamvi, nani mwenye hatia hapo. Kesho yake nilijuta sana
Ha ha ha ha umeliona hilo, yaan humu kila mtu ana ela, msomi, nk