Nimetembea na shemeji yangu

Nimetembea na shemeji yangu

We unari gari halafu shoping yako ni mlimani city
 
Wanaume wa dar hiki ndo kipimo cha akili na tabia zenu?,sisi huku vijijini hatuna muda wa kupoteza kufanya ujinga huu wala kuuongelea,maana tuna majukumu kibao kulea familia kulima nk,tofauti na huo ujinga wa kubwa zima linakaa nyumbani kwa wazazi, au kwa ndugu bila kazi matokea linaanza kutamani shemeji zake,hebu muonyeni mwenzenu anawaaibisha,
 
Wakuu kuna mambo binadamu unaweza kuyafanya mwisho wa siku ukajikuta unajuta kwa nini umetenda.Ni hivi kaka yangu alikuwa anaishi kinyumba na mwanamke mmoja, waliishi karibia miezi sita wakaachana. Sasa Jumamosi iliyopita asubuhi nilienda Mlimani City kufanya shopping, nikamkuta na shemeji yaangu naye yupo hapo.

Alishangaa sana kuniona hata mie nilistaajabu pia maana urembo wake ulikuwa umeongezeka mara dufu. Akanisifia sana kuwa nimekuwa handsome sana siku hizi, mie niliona kawaida tu.Kabla hatukuwa na mawasiliano yoyote yale, tukapeana namba za simu. Jumapili akanipigia na kuomba tuonane jioni, jioni ile nikachoma mafuta hadi sehemu ya ahadi.

Tuliongea mengi huku tukinywa bia, mida ya saa 2 usiku nikamrudisha kwake, kufika kwake akagoma nisiondoke kwanza. Akaenda kuleta bia kadhaa tukaendelea kunywa tukiwa wawili tu, mida ya saa 4 usiku akasaula nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa akidai joto kali. Kwa kweli uzalendo ulinishinda nikaanza kumgegeda kwenye kochi.

Wanajamvi, nani mwenye hatia hapo. Kesho yake nilijuta sana

....Nzuri saaana, na ulifanya vema kutumia URIJALI wAKO; haaa ngumu saana kuzuia Hisia,
 
Kwa mmwendo huu ukimwi utaendelea kuangamiza familia nzima.
 
Wakuu kuna mambo binadamu unaweza kuyafanya mwisho wa siku ukajikuta unajuta kwa nini umetenda.Ni hivi kaka yangu alikuwa anaishi kinyumba na mwanamke mmoja, waliishi karibia miezi sita wakaachana. Sasa Jumamosi iliyopita asubuhi nilienda Mlimani City kufanya shopping, nikamkuta na shemeji yaangu naye yupo hapo.

Alishangaa sana kuniona hata mie nilistaajabu pia maana urembo wake ulikuwa umeongezeka mara dufu. Akanisifia sana kuwa nimekuwa handsome sana siku hizi, mie niliona kawaida tu.Kabla hatukuwa na mawasiliano yoyote yale, tukapeana namba za simu. Jumapili akanipigia na kuomba tuonane jioni, jioni ile nikachoma mafuta hadi sehemu ya ahadi.

Tuliongea mengi huku tukinywa bia, mida ya saa 2 usiku nikamrudisha kwake, kufika kwake akagoma nisiondoke kwanza. Akaenda kuleta bia kadhaa tukaendelea kunywa tukiwa wawili tu, mida ya saa 4 usiku akasaula nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa akidai joto kali. Kwa kweli uzalendo ulinishinda nikaanza kumgegeda kwenye kochi.

Wanajamvi, nani mwenye hatia hapo. Kesho yake nilijuta sana

Huna hatia hapo kwani hata mimi nimetembea na shemeji yangu toka kariakoo mpaka posta na tukanunua na maji ya kunywa njiani,Hahahahaaaa😀😀😀😀😀😀
 
Naomba namba yake nikuepushe na hilo janga linalokusuta ,ni mweupe?Nyuma amefungashia?
 
Back
Top Bottom