Nimetembea na shemeji yangu

Nimetembea na shemeji yangu

Kaka virusi, shemeji virusi, wewe virusi, anaentoka na kaka yako virusi, anaetoka na shemeji yako virusi, unaetoka nae sijui ni mchumba au mke virusi, yaani vvu tu hadi.........
 
wewe mkuu lazima utakuwa "dunga dunga" si bure kabisa. maana huo "Upiru" ulionao ni zaidi ya mbakaji.
 
Kaka virusi, shemeji virusi, wewe virusi, anaentoka na kaka yako virusi, anaetoka na shemeji yako virusi, unaetoka nae sijui ni mchumba au mke virusi, yaani vvu tu hadi.........

Yaani ni chain ambayo haina mwisho!. Kazi kweli kweli!.
 
wote mna hatia, wewe na shemeji yako. mmeshindwa kumheshimu kaka yako japo yeye kishakuwa zilipendwa!! endelea kumgegeda maana ushaonja asali huwezi kuacha!
 
Kwann uingie kwenye majaribu kirahisi namna hiyo kaka??? Kukaa mpk mida hiyo kwa binti singo tena aliyeachana na ndugu yako ulikuwa huogopi? Ingekuwa vipi kama kaka yako angekukuta?? Hufikirii kma angeweza kuhisi kwamba yawezekana wewe ukawa ni sababu ya kuachana kwao?

Nway, basing on that story, mwenye makosa ni ww..!!! umekuwa very cheap kaka. Kama umeweza kwa mtalaka wa kaka yako, basi hata demu wa rafiki yko wa karibu, ww unaweza kumgegeda tena kweupeeeee na macho makavu, bila hata pombe.


Sent from my iPad using JamiiForums app
 
Kugegeda ugegede wewe kutuuliza utuulize sie, koma!
 
Pengine lengo lake limetimia kuwaunganisha grade ya taifa mtu na kaka ake kama ulikumbuka Condom hongera mkuu
 
Back
Top Bottom