Umalaya tu ndio unaokusumbua
Nina rafiki yangu ambaye tuko naye tangu ljumaa tukata ulabu maeneo ya Boko.
Usiku wa kuamkia Jumapili alikuwa na ugomvi mkubwa na demu wake.
Jamaa akampiga sana mwanamke, hayo yalikuwa yakitokea nyumbani kwa huyo binti.
Binti akanaipigia simu, nikaenda nikamkuta binti kazimba jicho na sura nzima, analia.
Nikakaa na mumbembeleza, nika msponji kisha nikampeleka hospitali.
Tukarudi nyumbani na nikaendelea kumsaidia baadhi ya kazi.
Nlipotaka kuondoka ndio akanishukuru kisha akaniambia let me kiss u good bye.Busu lilikuwa la mdomoni, refu na tamu ile mbaya, si ndio tukajikuta tumepitiliza hadi kwenye utupu. Kucheki pembeni kuna kibox cha KAMASUTRA condoms.
Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu
This is a stern warning aiseeumevujisha mwenyewe, kitakachokukuta usimlaumu mtu... mimi ninafahamu kabisa hiyo kesi na mshikaji ninmfaham...anza kusali huyo shetani wako akupokee vizuri maana maisha yako sasa yako hatarini.....
Hahahahapo juu JULZ,KIMEY,D5 na EDSON jaribuni ku-consentreti na kazi.....!
YOU HAVE BEEN STRONGLY WARNED
Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu
umeona buji
niliwahi kusikia kuwa, watu wanaongozana na wanawake/wasichana kila mara na pia kujisifu kuhusu ngono zembe zembe huwa ni mashoga ili asjulikane au kuhisiwa basi anakuja na vijimambo au thread kama hizi......sijui ni kweli? Samahani kama nimesema ukweli
ndio maana saa zingine huwa tunaita (crap)sasa hii sredi ina umuhimu gani? Aaargh hawa watu waliopewa kompyuta za mikopo wana tabu kweli wakiwa online.
:bump::whoo::whoo::whoo::whoo:This is a stern warning aisee
panties on fire:target: