Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,863
Haa ha ha ha, hi ndio tunaitaga, "MGANGA HAOMBAGI TEMBELE"Nitafutie mbuzi weusi watatu, ng’ombe mmoja awe wa kisasa jike wa maziwa awe amezaa mara moja ndio dawa itashika, kuku wawili mmoja jogoo na jike, nitafutie na mchele wa kyela ndoo mbili kubwa ili kutoa kafara kwa wazee, na vitenge vitatu was original vya kufunikia dawa halafu hela usinipe yoyote ukifanikiwa utarudi kushukuru.