Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka unitapeli tena? wewe jamaa hebu kuwa na utuunahitaji mganga
🤣🤣🤣🤣unataka unitapeli tena
Wewe si tapeli kabisaNitafutie mbuzi weusi watatu, ng’ombe mmoja awe wa kisasa jike wa maziwa awe amezaa mara moja ndio dawa itashika, kuku wawili mmoja jogoo na jike, nitafutie na mchele wa kyela ndoo mbili kubwa ili kutoa kafara kwa wazee, na vitenge vitatu was original vya kufunikia dawa halafu hela usinipe yoyote ukifanikiwa utarudi kushukuru.
Mie naona umekuja kuchangamsha jukwaa tu, kutapeliwa Million 45 mda huu ungekuwa na drip au ungekuwa kwenye basi unaelekea sumbawanga kumtafuta Mr Mshana ..haya mambo yasikie tu.
Nina siku ya nne leo tangu nigundue kwamba nimepigwa, hata kula vizuri siwezi, nawaonea wivu wenzangu walionunua maeneo madogo kwa bei za 15m kushuka chini. Naona hasara yao ni ndogo kuliko yangu.
Hiyo kwa mjibu wa akili yako unavyowazaMie naona umekuja kuchangamsha jukwaa tu, kutapeliwa Million 45 mda huu ungekuwa na drip au ungekuwa kwenye basi unaelekea sumbawanga kumtafuta Mr Mshana ..
ndo tunakomaa mkuu, tatizo polisi nao wanataka hela tu ila sioni maajabuUmetoa mil. 45 kununua kiwanja feki? komaa kufuatilia mikataba ya mauziano, mashahidi, ofisi ya mtendaji nk.
unataka unitapeli tena? wewe jamaa hebu kuwa na utu