s.crony
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 1,286
- 458
wewe ujaibiwa umempa!! ajaingiza mkono mfukoni mwako.
Exactly!niliwai kusema wajanja hawatoisha kamwe km mazuzu bado yapo....!
wewe ujaibiwa umempa!! ajaingiza mkono mfukoni mwako.
Kumbe jana nimeingizwa choo cha kike na ujanja wangu wote.
Ilikua hivi nilikua bar alafu nilikuwa mitungi, akaja jamaaa alikuwa na shida ya laki moja ila yeye alikuwa na euro 200.
Kwa tamaa yangu mimi nkachukuaa ilw euro 200 nkampa laki nikjua nimempata.
Leo asubuhi naenda kuichenji kumbe ile hela fafa kanjanja. Ahhhh yani mimi mtoto wa town alafu mjanja nimeingizwa kingi hivi hivi kweli tamaa imeniponza.
Jana nimeingizwa choo cha kike nimeona niwajulishe wanajf humu ili asije mwingine akalizwa kama mimi.
Napata mashaka kidogo!
Kama katika mazingira hayo unaingizwa mkenge, je kwenye hii biashara ya viwanja unayoifanya hali itakuweje?
Ref:
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/652544-viwanja-viwanja-kigamboni.html
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/652280-viwanja-viko-surveyed-tayari.html
I doubt!!!!!!!!!
Pole sana ila unvyoelezea na uchungu ulio nao kwamba uborntown wako haukufua dafu vimenifanya nicheke kiasi. Ni kweli kabisa mjanja huingizwa mjini na mjanja zaidi. Anyway, asante kwa tahadhari, nipo macho!Kumbe jana nimeingizwa choo cha kike na ujanja wangu wote.
Ilikua hivi nilikua bar alafu nilikuwa mitungi, akaja jamaaa alikuwa na shida ya laki moja ila yeye alikuwa na euro 200.
Kwa tamaa yangu mimi nkachukuaa ilw euro 200 nkampa laki nikjua nimempata.
Leo asubuhi naenda kuichenji kumbe ile hela fafa kanjanja. Ahhhh yani mimi mtoto wa town alafu mjanja nimeingizwa kingi hivi hivi kweli tamaa imeniponza.
Jana nimeingizwa choo cha kike nimeona niwajulishe wanajf humu ili asije mwingine akalizwa kama mimi.
Wewe jitape tu Nyanidume. Ipo siku utakutana na mjanja atakayekunasa kirahisi sana kuliko huyu aliyeleta kisa chake hapa.Unatapeliwa kindezi halafu unasema eti wewe ni mtoto mjini? samahani mkuu acha kutudharirisha maborn town, rudi kwenu porini ukaongee na nyani.
Kumbe jana nimeingizwa choo cha kike na ujanja wangu wote.
Ilikua hivi nilikua bar alafu nilikuwa mitungi, akaja jamaaa alikuwa na shida ya laki moja ila yeye alikuwa na euro 200.
Kwa tamaa yangu mimi nkachukuaa ilw euro 200 nkampa laki nikjua nimempata.
Leo asubuhi naenda kuichenji kumbe ile hela fafa kanjanja. Ahhhh yani mimi mtoto wa town alafu mjanja nimeingizwa kingi hivi hivi kweli tamaa imeniponza.
Jana nimeingizwa choo cha kike nimeona niwajulishe wanajf humu ili asije mwingine akalizwa kama mimi.
mrangi, wewe unaita hii hali ya kutapeliwa 'tamaa mbaya?' Mtazamo wangu ni tofauti.Binadamu tumeumbwa na hulka ya kupenda 'extra gain' yaani kupenda kupata cha ziada, ndo maana tunafanya biashara - unanunua kwa 1000 unauza 1500 au 3000. Ndo maana tunalima, -unapanda kilo 10 za mahindi unavuna kilo 5000. Hii hulka ya kupenda kupata faida ndio hutumiwa na matapeli kutuingiza mjini na wataendelea kufanya hivyo mpaka hapo tutakapobadilisha hulka hii na sidhani kama itatokea hivyo. Kwa hiyo tutaendelea kuumia kwenye mikono ya matapeli.Na ikitokea kutapeliwa, usiite ni tamaa mbaya!kweli tamaa mbaya sana